Hamna kitu, ni kuamua tu.Hao panya wako imara kuliko unavyo dhani. Hakuna anayekatwa panga na mke wake kubakwa mbele yake akaridhika. Unapoona hii hali maana yake wao ni zaidi ya ulinzi wa Taifa. Polisi na vyombo vya ulinzi vimesheheni Dar lakini ndiyo sehem wanawake wanabakwa. Hivi karibuni kijana mwenye ulenavu wa ngozi kakatwa panga, sidhani kama kwa sasa Nchi hii raia wako salama. Labda viongozi wa juu wa nchi hii ndiyo walio salama kwa kuwa wana ulinzi kijamii na kiuchumi.
Sio kweli,wanawaona wananchi wangese.Hawawezi kuacha sababu ni roho
Sio kweli,wanawaona wananchi wangese.
[/QUOTES.
Kagame kaweza maliza vibaka sisi tunashindwa vipi
Unahamasisha uvunjaji wa sheria, hii sio sawa.Wasalaam
Kufuatia kuwapo kwa makundi ya panya road yaliyokatakata raia kwa mapanga na kupora mali zao kisha kuwabaka wanawake, wito wangu kwa watanzania wanaovamiwa wajibu mapigo kwa silaha zozote walizonazo hata ikibidi watangaze vita na hawa vibaka. Tupambane panya road akishikwa tumtie kiberiti tumwekee mashada ya matairi.
Over.
Wewe ndio mjinga Sasa wasikilozwe na nani...We mjinga hutaki Justice kwann wachommwe bila kusikilizwa nyie sukuma Gang acheni upumbavu