Huyo jamaa aliyekuwa na kichwa kama korosho alikuwa na roho mbaya sana.Asikilizwe ana hoja.
Magufuli si alisema hivyo hivyo na kweli hakuongeza.
CCM dhuluma ni tabia yao. Sasa watu badala ya kupambana na mfumo wanapambana na hao chawa.Atakuwa ametumwa huyu siyo bure
Ukiacha hizo siasa za huyo jamaa... watumishi wa uma waukweli ukweli hawana matumaini na Sa 100.Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale dumila.
Mhh, anatikisa kiberitiHuyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale dumila.
Watumishi wa umma wa kweli hawamtumainii Sa 100 kuhusu kuongezewa mishahara...ndiomana katika SikuKuu yao ya mwaka huu wameipuuza balaa.Asikilizwe ana hoja.
Magufuli si alisema hivyo hivyo na kweli hakuongeza.
Huyu ni kipenyo anaekaribia kustaafu.Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale dumila.