cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23]Kesho utasikia kawa mkuu wa wilaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kesho utasikia kawa mkuu wa wilaya.
Huyu atakuwa chawa wa CCM; ametangulizwa kuchafua hali ya hewa. MiCCM ni miquma sana.Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
Atawafunika machawa wote akina ChoiceVariable , Lucas Mwashambwa , MamaSamia2025 na michawa mingine lukuki iliyorundikana kila kona ya nchi hii.Huyu jamaa akiendelea hivi atafika mbali Sana...wale wanaojiita machawa huyu jamaa anakuja kuwafunika wote.
Hongera zake Sana
Ana roho ya korosho, kama kichwa chake,Huyo jamaa aliyekuwa na kichwa kama korosho alikuwa na roho mbaya sana.
8 is nothingMwaka uliopita waliongeza elfu 8 kwa kila mfanyakazi
Anaweza kuwa ameshauriwa hata na Chadema Ili wapate hoja ya maandamano!😎😎😎😎Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
😆🤣🤣Ana roho ya korosho, kama kichwa chake,
Siyo yule muuza madafu kweli?Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
Huyu chawa wa SAKINAA hahahaha Mwalimu !!!Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
Yupo hapa Sakina ni kuzuunguka bar hadi bar kugongea biaHuyu atakuwa chawa wa CCM; ametangulizwa kuchafua hali ya hewa. MiCCM ni miquma sana.
Yupo sahii, na wabunge , makatibu wakuu ,n.k wapunguziwe mishahara yao ,mpumbavuHuyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
Kumbe wewe ni mwanamke!Umeonaeeeeee 😂 😂
MIAKA 60 BADO TUNAWAZA MIONDOMBINU KWELI CCM NI CHAKA LA WAPIGAJIHuyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
Saahii tunaongeza afutatu🤣🤣🤣Mwaka uliopita waliongeza elfu 8 kwa kila mfanyakazi
Huyu mbwa hakuna wahuni huko wamfir3 akili zimrudie?Yupo hapa Sakina ni kuzuunguka bar hadi bar kugongea bia
Ni chawa tu joblessHivi huyo ni mfanyakazi kweli?
Huyo kwa muonekano hayuko kwenye kundi la wafanyakazi
Ova