green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Huyo huyo jamaa angefanya tukio baya mngemlaumu mlinzi,, wabongo ujuaji mwingi wakati mnashindwa kununua sukari kg 1 kwa 6000 tuMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Hapo sasa Mimi niliposti kuwa huyo chapombe alikuwa hajielewi Wakati anafanya tukio.hatarishi nikazodolewa humu na wajinga🤣😂
Na hapo viroba vimepigwa marufuku sijui vingerasimishwa ingekuwaje
Alikuwa sahihi mno sema huyo mlinzi hakumuua alikuwa na Haki Zote za kumuua sema ana huruma sana yule mlinziUkiangalia video yote kutokea nyuma utagundua kwamba askari alikuwa sahihi kumchapa konde huyo jamaa. Kumbe walitaka kuzuia msafara
Hivi kapona kweli? [emoji848]Hakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Mwenyew nimesema hili mbona watu walitandika hadi khanga atukuona wanapigwa basi angemsukuma kidogo aisee sio hii ngumi ya mwana ukomeMbona kwenye msiba wa Mwenda zake walitandika hadi Kanga na vitenge barabarani ili gari lipite na hakuna aliepigwa ngumi?? Mi naona huyo kuruta tu ndio kayumba ila jamaa hana kosa
Kwa nchi gani??Hii hii Tanzania ambayo watu wanapotezwa na serikali haina majibu??Ndo imeisha hiyo, hii nchi utafikiri hatuna viongozihuyu afisa achukuliwe hatua kali
Usiombe umaskini wa akili,umaskini wa fedha kila rangi utaionaKwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Polisi,jwtz na uhamiajiMkuu Taasisi gani hiyo inayochukua vijana wenye kiwango hicho cha ufaulu?
au ndo itakuwa kama ile ya Nape hatumfahau yule amliyemtishia bastola!Kwa nchi gani??Hii hii Tanzania ambayo watu wanapotezwa na serikali haina majibu??Ndo imeisha hiyo, hii nchi utafikiri hatuna viongozi
HowKeyboard Warriors
Vdeo ipi sijuiVideo ipo kwenye Post wewe unadai iwekwe video nyingine!
Mambo ya ulinzi waachiwe wataalamu wa ulinzi na misafara ya Escort hizo ni fani watu wanasomea ndio maana Toka Mwanzo nikasema huyo Mlinzi alikuwa sahihi wengine wakaleta ujuaji humu wa kijinga🤣😂
Na hapo viroba vimepigwa marufuku sijui vingerasimishwa ingekuwaje
Mimi sio chizi kama wewe. Niliuliza kwa sababu mwanzo hakukuwa na videoVideo ipo kwenye Post wewe unadai iwekwe video nyingine!
Kwani huyo aliyepigwa aliponyanyua mkono alikuwa na maana gani?au alikusudia kufanya nini? Lakini pia huo msiba na msafara alimhusu nini hasa mpaka ausogelee msafara kwa karibu kiasi kile?Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Mkuu, watanzania wengi wanaujinga mwingi Sana, MTU akujui unajipanga barabarani ili!?Huwa nawashanga pia watu wanaoshobokea misafara hiyo
Ikipita....yaani niache mitkas yangu
Nkakae Road kuangalia msafara
Ova
Niliskia paaaaa akafanya aaaaaah [emoji24][emoji24][emoji24]Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.