Na wanatake advantage ya uoga wa kizuzu wa watanzania, huyu mshenzi sio wanajeshi,angeyafanya haya hapo Botswana, angeshapandishwa mahakamani,na raia mhusika angefungua kesi ya criminal na baadaye ya Madai dhidi ya minister of defenseHawa ni wauwaji wakubwa sana ndio michezo Yao hii full roho mbaya