Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shika adabu yako uwe na heshima.
Uzito wake nahisi zaidi ya kilo mia heri mtu apigwe na nondo kuliko ngumi kama ileHalafu nzito
😅Uzito wake nahisi zaidi ya kilo mia heri mtu apigwe na nondo kuliko ngumi kama ile
Ile ngumi zaidi ya nondo
Umezinduka baada kutwangwa ngumi ile ICU Nini wewe?
MAJIIN MAJINI MSIBANI JANAN KHA NAJINI YAMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Sasa hilo limzoga la FISADI LOWASA ni la kazi gani linalindwa kwa mangumi kiasi hicho?Umezinduka baada kutwangwa ngumi ile ICU Nini wewe?
Huu msiba sie wanyongehautuhusu kumbe
Kapigwa kitu kinaitwa "clothesline from hell" kama ya JBL wrestler wa zamani wa WWE...
![]()
Wabongo noma😀😀😀 wanaweza kuiba maiti wakasepa nayo🤣...... hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Heshima gani bwana hilo limzoga la FISADI LOWASA wakalitupe huko wasituchoshe nalo.Shika adabu yako uwe na heshima.
Kama huna cha kukomenti kaa kimya