Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtu.be/DvauMkQGqk4?si=7ZVIX28JOfDXubms
Mbona mwamba yupo vizuri anaendelea kula kitoko na zed
Ili ikimuingia na kumuuma impe Stimu ya kukupa Mimba zake tukuka uzae akina GENTAMYCINE Wengi?Hiyo ngumi anatakiwa kupigwa GENTAMYCINE
Jamaniiiii....jamaniKwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
AiseeAlitaka kuhatarisha usalama wa maiti.
Luwassa ana utajiri wa bilioni ngapi?Kiherehere kimemponza.
Anapunga mikono kwa hisia anamuomboleza FISADI LOWASA!! Daah!
Alivyonyoosha mikono akakumbana na ngumi ya kimkakati.
Amekupata alichokuwa anakitafutaHii ndiyo inaitwa tragicomic. You feel sorry for the dude who got his ass knocked down cold, but on the other hand, you feel like he kinda deserved it.
Apumzike kwa amani.Kwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
View: https://youtu.be/DvauMkQGqk4?si=7ZVIX28JOfDXubms
Mwamba yupo vizuri tu anasimulia mpaka viroba viliisha kichwani ila kesho lazima aende akazike hata kama wame mpa kerebu vijana wa chugastani hao
Hahaha kofisimba au kofijiwee.Naona inabadilishwa kutoka ngumi kwenda kofi na kipande chenyewe kimefutwa... Yote kwa yote bora wapigwe
Ndio wa kuwa askari, madaraka, wa kulinda raia na viongozi wake!Huzuni lakini ni jambo la kuchekesha, kwani mlinzi alikuwa na tatizo gani? Ulevi?
Na angeleta fyoko yule aliyekua anakuja nyuma alikua anammalizia na kuendelea na msafaraHuyo aliyepigwa nimemfikiria mara mbili mbili ,akirudi nyumbani kwake anaenda kusemaje kwa mke na watoto wake?Hakupaswa kupigwa vile,angesukumwa hata pembeni.Mazoezi ni muhimu
Ile ni ngumi mzito sio kofiNaona inabadilishwa kutoka ngumi kwenda kofi na kipande chenyewe kimefutwa... Yote kwa yote bora wapigwe
Hamna, kumsukuma bila Konde zito a mwingine angefata gari za JeshiAngemsukuma tu ilitosha
Halafu mlinzi gani asiyevalishwa vazi maalumu hao ni wale wale watoa uhai za watu.Hawa vijana wetu tunaochukua wa Div 4 ya mwisho wanatupa shida sana. Imagine Taasisi nzima inaonekana hamnazo kisa mtu mmoja kama huyu. Pole sana kwa mwathirika waa tukio hili.
Kama haikuwepo iweje chizi niliyeanza kukomenti niiiona na wote walioanza kutoa maoni kabla yako waliwezaje kuiona! Na baada ya kuiona kwanini haukuifuta komenti yako! Jifunze kukubali kosa, ifute komenti yako.Mimi sio chizi kama wewe. Niliuliza kwa sababu mwanzo hakukuwa na video
Aliyepigwa alifanya showoff gani?Mpigaji na mpigwaji wote wazembe tu. Kulikuwa na haja gani ya kufanya mbwembwe na show off kwenye msafara wa msiba?
Sifa kuu ya chizi ni kubishania kitu kisicho na tija. Muda huu ungekuwa hapa pembeni yangu nakukojoza ingefaa zaidi kuliko hiki unachokazia fuvu. Nikifuta hiyo comment kuna pesa unaingiza? Hizo threads zimeungwa, niliyokoment mimi haikuwa na video ndio maana wenye utimamu wameniwekea video wakala kona, ajabu wewe umekuja kukaza magego hapaKama haikuwepo iweje chizi niliyeanza kukomenti niiiona na wote walioanza kutoa maoni kabla yako waliwezaje kuiona! Na baada ya kuiona kwanini haukuifuta komenti yako! Jifunze kukubali kosa, ifute komenti yako.