Raia Mwema: Wanawake 40 wajitokeza TAKUKURU kutoa ushahidi wa unyanyasaji wa kingono na ubakaji wa Ole Sabaya

Dogo mshamba sana kwanza hajui biashara wenzake wanaunda kampuni za kijanja sio kwa majina yao halafu wanahakikisha kampuni zinapata zabuni na kuhakikisha zinalipwa kwa wakati ndio business zinasonga yeye anavuruga biashara za watu kizembe
 
Mwenyezi Mungu fundi sana. Bila kumchukua yule dhalimu huyo mhuni Sabaya angeendelea na dhuluma na udhalimu wake kwa miaka mingi sana.
 
Watu wa Arusha wanamfahamu vyema Sabaya. Alipokuwa mwenyekiti tu wa UVCCM Arusha watu walinyooka.
Yeye kuingia hotelini na demu halafu asilipe ni kitu cha kawaida. Aliwadhulumu kwerii kwerii wenye mahotel.
Ukimdai anatoa kitambulisho cha TISS kuwa yeye ni UNDERCOVER.
 
Sema jamaa naye alimdhibiti Mboye mpaka akaita maji mma.
 
Ndiyo maana mtu kama Mimi ninayejali uadilifu na ubinadamu siwezi kushabikia yule Dictator kabisa mpaka niingie kaburini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…