Raia Mwema: Wanawake 40 wajitokeza TAKUKURU kutoa ushahidi wa unyanyasaji wa kingono na ubakaji wa Ole Sabaya

Raia Mwema: Wanawake 40 wajitokeza TAKUKURU kutoa ushahidi wa unyanyasaji wa kingono na ubakaji wa Ole Sabaya

Kukutwa ana jumla ya 3 billions nyumbani kwake na kwenye bank accounts zake kumenishangaza sana. Na huyo ni Mkuu wa Wilaya tu! Sasa imagine yule Makonda ambaye naye inadaiwa alikuwa akipita kwa Wafanyabishara wakubwa Dar kukusanya “pesa ya chama”
Wanyonge walinyongwa kwel kweli.
 
Kukutwa ana jumla ya 3 billions nyumbani kwake na kwenye bank accounts zake kumenishangaza sana. Na huyo ni Mkuu wa Wilaya tu! Sasa imagine yule Makonda ambaye naye inadaiwa alikuwa akipita kwa Wafanyabishara wakubwa Dar kukusanya “pesa ya chama”
Yan tulipigwa sana ila sema ndio hvyo propaganda zao zilituzipa macho tusione.
Nataman wateule wote wa mwendazake wachunguzwe
 
Taarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya (namba inaweza kuongezeka)...
Wanapatikanaje hao mashahid mbona sijasikia tangazo la kutafuta mashahid?
 
Kukutwa ana jumla ya 3 billions nyumbani kwake na kwenye bank accounts zake kumenishangaza sana. Na huyo ni Mkuu wa Wilaya tu! Sasa imagine yule Makonda ambaye naye inadaiwa alikuwa akipita kwa Wafanyabishara wakubwa Dar kukusanya “pesa ya chama”
Hatari kama lote
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Taarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya (namba inaweza kuongezeka)
Hili JAMBAZI la kimasai halina pa kutokea. Lazima likanyee debe. Kumbe ndio maana mwendazake alipofariki lililia sana kwa kuwa lilifahamika fika mtetezi wake ameondoka maana hata afanye ujinga wa aina gani mwendazake alikuwa anamuunga mkono. Jinga kabisa hili jamaa.
 
Hao wanawake wanapoteza muda tu na kujidhalilisha tu. Bora wangeendelea na maisha yao, jinai inahitaji ushahidi
 
Back
Top Bottom