Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Bwashee, unataka kutuaminisha ukimkuta mwanamke bar unachukua tu, na kwenda kumfanyia ufinyiriru bila idhini yake? Unataka kusema mwanamke kuwa bar ni kosa Kwa hiyo anastahili kubakwa, kama adhabu ya kosa hilo?!Wanawake wenyewe alikuwa anawakuta Bar!