Raia Samia asikie ya kuambiwa: DP World inatupeleka kubaya

Raia Samia asikie ya kuambiwa: DP World inatupeleka kubaya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Yamesikika ya wasomi (nguli kwa mapoyoyo), chawa, wajinga na hata werevu:



Kwani kuna haja ya kuliacha suala hili kuendelea mno?

"Labda kwa kusubiria dodo kwenye mnazi."

Ushauri wa bure tunaelekea kubaya
 
Yamesikika ya wasomi (nguli kwa mapoyoyo), chawa, wajinga na hata werevu:

View attachment 2675885

Kwani kuna haja ya kuliacha suala hili kuendelea mno?

"Labda kwa kusubiria dodo kwenye mnazi."

Ushauri wa bure tunaelekea kubaya.
Mzee wetu Mwl.JKN aliwahi kusema: 👇

Zaidi hapa👉🏼 Sikilizeni Wananchi
 
Kaandamaneni kuonesha kuumizwa na hili swala
 
Na tatizo kubwa ziaidi ni kwamba wanatoa majibu ya rejareja bila kugusia vipengele vya mkataba vyenye shaka, hasa kukosa UKOMO
 
Hata tozo watu walimpigia kelele akajifanya kichwa ngumu, leo kiko wapi?

Ubaya hili la DPW linaenda kuwa janga la vizazi na vizazi. Kwanini tunaviongozi wa ajabu namna hii?
 
Hata tozo watu walimpigia kelele akifanya kichwa ngumu, leo kiko wapi?

Ubaya hili la DPW linaenda kuwa janga la vizazi na vizazi. Kwanini tunaviongozi wa ajabu namna hii?
Screenshot_20230702-091018.jpg


Tutafika tu.
 
Hata tozo watu walimpigia kelele akifanya kichwa ngumu, leo kiko wapi?

Ubaya hili la DPW linaenda kuwa janga la vizazi na vizazi. Kwanini tunaviongozi wa ajabu namna hii?
Kama ndio anautumia huo mfano wa tozo unaotuumiza sisi akidhani tutanyama na hili la waarabu lipite anajidanganya.

Ni afadhali ya maumivu tunayoyapata sisi ambayo inawezekana kabisa vizazi vijavyo visiyapate, au hata sisi wenyewe tusiyapate pale itakapopatikana serikali itakayoongozwa na kiongozi anayejielewa, sio huyu wa kusubiri kuambiwa tu, asiyejua hata kuchanganya na zake.
 
Kama ndio anautumia huo mfano wa tozo unaotuumiza sisi akidhani tutanyama na hili la waarabu lipite anajidanganya.

Ni afadhali ya maumivu tunayoyapata sisi ambayo inawezekana kabisa vizazi vijavyo visiyapate, au hata sisi wenyewe tusiyapate pale itakapopatikana serikali itakayoongozwa na kiongozi anayejielewa, sio huyu wa kusubiri kuambiwa tu, asiyejua hata kuchanganya na zake.

Kwa uelewa wangu hatimaye tozo kwenye miamala ya simu zimefutwa.
 
Yamesikika ya wasomi (nguli kwa mapoyoyo), chawa, wajinga na hata werevu:

View attachment 2675885

Kwani kuna haja ya kuliacha suala hili kuendelea mno?

"Labda kwa kusubiria dodo kwenye mnazi."

Ushauri wa bure tunaelekea kubaya.
Ndugu inabidi tutambue kua:-

1. Wapo wanaopinga mkataba huu kwa sababu madili yao na wizi wao hapo bandarini utakomeshwa na hivyo hawatapata nafasi ya kutuibia tena.
2. Wapo wanaopinga kwa sababu hawana imani na matakwa ya mkataba huo ambao ni wachache sana.

Japo si mtaalam wa uchumi wala sheria lakini najiuliza, kama bandari itaingiza faida kubwa kwenye pato la taifa chini ya huo mkataba wa DPW kuliko ilivyo chini ya serikali, sambamba na kuondoa usumbufu mwingi ikiwemo mizigo kuchelewa kutoka, tatizo ni nini hata kama uwe wa milele?
Mfano wewe ukisimamia biashara yako unapata milion 200 kwa mwaka as maximum profiti akaja mtu umubinafisishie akulipe 1bilion kila mwaka, utakataa kweli? Tunataka nin?
 
Ndugu inabidi tutambue kua:-

1. Wapo wanaopinga mkataba huu kwa sababu madili yao na wizi wao hapo bandarini utakomeshwa na hivyo hawatapata nafasi ya kutuibia tena.
2. Wapo wanaopinga kwa sababu hawana imani na matakwa ya mkataba huo ambao ni wachache sana.

Japo si mtaalam wa uchumi wala sheria lakini najiuliza, kama bandari itaingiza faida kubwa kwenye pato la taifa chini ya huo mkataba wa DPW kuliko ilivyo chini ya serikali, sambamba na kuondoa usumbufu mwingi ikiwemo mizigo kuchelewa kutoka, tatizo ni nini hata kama uwe wa milele?
Mfano wewe ukisimamia biashara yako unapata milion 200 kwa mwaka as maximum profiti akaja mtu umubinafisishie akulipe 1bilion kila mwaka, utakataa kweli? Tunataka nin?
Dah wewe jamaa ni mweupe kichwani.. jitafakari
 
Ndugu inabidi tutambue kua:-

1. Wapo wanaopinga mkataba huu kwa sababu madili yao na wizi wao hapo bandarini utakomeshwa na hivyo hawatapata nafasi ya kutuibia tena.
2. Wapo wanaopinga kwa sababu hawana imani na matakwa ya mkataba huo ambao ni wachache sana.

Japo si mtaalam wa uchumi wala sheria lakini najiuliza, kama bandari itaingiza faida kubwa kwenye pato la taifa chini ya huo mkataba wa DPW kuliko ilivyo chini ya serikali, sambamba na kuondoa usumbufu mwingi ikiwemo mizigo kuchelewa kutoka, tatizo ni nini hata kama uwe wa milele?
Mfano wewe ukisimamia biashara yako unapata milion 200 kwa mwaka as maximum profiti akaja mtu umubinafisishie akulipe 1bilion kila mwaka, utakataa kweli? Tunataka nin?

Paskali hata baada ya kumsikia mwalimu wako nguli ungali huna cha kumwambia huyu ndugu ambaye si mchumi Wala mwanasheria japo akachanganya na akili zake?
 
Paskali hata baada ya kumsikia mwalimu wako nguli ungali huna cha kumwambia huyu ndugu ambaye si mchumi Wala mwanasheria japo akachanganya na akili zake?
Kabisa mkuu, naomba mnieleweshe tatizo ni nini kwenye mkataba huo? Maana inadaiwa itatuingizia faida kubwa kuliko sasa.
 
Kabisa mkuu, naomba mnieleweshe tatizo ni nini kwenye mkataba huo? Maana inadaiwa itatuingizia faida kubwa kuliko sasa.

Kuna mwingine ana yake kwako pia:



Vipi ungali huoni tatizo lilipo tukimsubiria wakili msomi Paskali ?

Huyu yasemekana yeye ni mchumi.
 
Ndugu inabidi tutambue kua:-

1. Wapo wanaopinga mkataba huu kwa sababu madili yao na wizi wao hapo bandarini utakomeshwa na hivyo hawatapata nafasi ya kutuibia tena.
2. Wapo wanaopinga kwa sababu hawana imani na matakwa ya mkataba huo ambao ni wachache sana.

Japo si mtaalam wa uchumi wala sheria lakini najiuliza, kama bandari itaingiza faida kubwa kwenye pato la taifa chini ya huo mkataba wa DPW kuliko ilivyo chini ya serikali, sambamba na kuondoa usumbufu mwingi ikiwemo mizigo kuchelewa kutoka, tatizo ni nini hata kama uwe wa milele?
Mfano wewe ukisimamia biashara yako unapata milion 200 kwa mwaka as maximum profiti akaja mtu umubinafisishie akulipe 1bilion kila mwaka, utakataa kweli? Tunataka nin?
Sijui akili za wapi hizi. Safari bado ndefu mno.
 
Back
Top Bottom