Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

Sijaelewa mtalii akifanya uhalifu kama kufoji cheti cha ndoa anarudishwa nchini kwake na sio kushitakiwa?
Inategemea sheria inasemaje. Kufoji cheti cha ndoa kwa nia ya kujipatia visa ni kosa unaweza kuamuliwa kurudishwaq deportation), kushitakjiwa na ukipatikana na hatia utafungwa na ukimaliza kifungo utakuwa deported.
 
wazungu/wakiristo wanao tengeneza misiraha/mabomu wanatengeza kwaajili gani wee pimbi?. mabomu kazi yake nini? kuimbia kwaya kanisani au? bundukije? wee ni pimbi.
Dini zote ni za Allah. Hakuna Allah wa Wakristu, Wasio Wakristu wala Waislaam. Allah ni wa wote. Allah ni neno la kiarabu maana yake Mungu.
 
Back
Top Bottom