Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
You can call them pig fighters, such kind of act is done by all spies of pigs, call it a memorable shame
ukivaa kismart unaonekan muhun bora ujiweke kikulungwa mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu mnambinu
Duh. Fafanua mkuuWachangiaji muwe makini sishabikii ila nimeweka kitu fulani aina ya reciprocal opportunity to action
Na ndiyo maana kumbe watawala wanatuburuza watakavyoNa ilitakiwa Kato afanywe hivyo haraka sana
We used to have village idiots, but with internet they have gone global... You are among them.Kwa kifupi sana nasema hivi kama police wa Kawe wangemjabidhi muuaji ambaye ni Kato hayo yote yasingetokea. Hii iwe ni warning kwa jeshi la police popote.
Kama unabisha sawa hayo ya kawe yatakuwa sehemu ya maisha popote pale Tanzania.
It is what it is, it pains but swallow it the hard way.
Mwaka 2015 kwenye uchaguzi S.H Amon aliumiza raia huko Mbeya kwa kukodi wanajeshi ili kusaidia CCM ishinde ubunge Rungwe Magharibi, Kawe sio special kwa chochote kile.
Ndio maisha
Wadiz
Ni kawaida ya wanajeshi kuleta ubabe, ila kiufupi hapo wanaonea tu raia.Wale ni maninja sio wajeshi, uthubutu wa Raia kumdhuru mwanajeshi bila onyo kali tena onyo mtambuka Raia hamuwezi kujirekebisha, sasa huo ni mfano tu, in an event of a similar scenario please just get away far away that place please kindly thank me later.
Haki za kibinadamu na haki za kisheria zinamlinda ndio maana yupo pale polisi na akitoka pale atapelekwa mahakamani kesi itasikilizwa ataambiwa ameua bila kukusudia kifungo miaka miwili au mitano tu kwishneiNa ilitakiwa Kato afanywe hivyo haraka sana
Popote pale Kato mtamzika mark my wordsHaki za kibinadamu na haki za kisheria zinamlinda ndio maana yupo pale polisi na akitoka pale atapelekwa mahakamani kesi itasikilizwa ataambiwa ameua bila kukusudia kifungo miaka miwili au mitano tu kwishnei
CCM Chanzo Cha MatatizoKwa kifupi sana nasema hivi kama police wa Kawe wangemjabidhi muuaji ambaye ni Kato hayo yote yasingetokea. Hii iwe ni warning kwa jeshi la police popote.
Kama unabisha sawa hayo ya kawe yatakuwa sehemu ya maisha popote pale Tanzania.
It is what it is, it pains but swallow it the hard way.
Mwaka 2015 kwenye uchaguzi S.H Amon aliumiza raia huko Mbeya kwa kukodi wanajeshi ili kusaidia CCM ishinde ubunge Rungwe Magharibi, Kawe sio special kwa chochote kile.
Ndio maisha
Wadiz
Fact..!Hatuna jeshi wote ni waimbaji wa CCM na kuiba kura ziku za uchaguzi
Maninja wamelainika kama mapapai aiseeePolice walizingua walikataa kumkabidhi muuaji kwa wale maninja a.k.a MPs
We akili huna sasa muuwaji akabidhiwe kwa mp wao km nani?mamlaka yao inaishia camp huko huko na kwa soldiers wenzao sio mtaani mharifu apelekwe mahakamaniKwa kifupi sana nasema hivi kama police wa Kawe wangemkabidhi muuaji ambaye ni Kato hayo yote yasingetokea. Hii iwe ni warning kwa jeshi la police popote.
Kama unabisha sawa hayo ya Kawe yatakuwa sehemu ya maisha popote pale Tanzania.
It is what it is, it pains but swallow it the hard way.
Mwaka 2015 kwenye uchaguzi S.H Amon aliumiza raia huko Mbeya kwa kukodi wanajeshi ili kusaidia CCM ishinde ubunge Rungwe Magharibi, Kawe sio special kwa chochote kile.
Ndio maisha
Wadiz.
Unaishi tanzania au ukanda wa gaza,acha uogaWewe naye sijui umekunywa ulanzi asubuhi yote hii
Wamkabidhi kwa jeshi kwa sheria ipi?
Hilo ni jukumu la polisi hao wajeda washenzi wasiokuwa na akili ilitakiwa watulie huko kambini kwao
Ww unaonekana ni mmoja wapo wa hao wanajeshi ambao hamjielewi halafu huo uwanajeshi wa kizamani sasa hv wanajeshi huo muda kupgana hawana wanawaza biashara na maendeleo ya family zaoWale ni maninja sio wajeshi, uthubutu wa Raia kumdhuru mwanajeshi bila onyo kali tena onyo mtambuka Raia hamuwezi kujirekebisha, sasa huo ni mfano tu, in an event of a similar scenario please just get away far away that place please kindly thank me later.
Bado tunakutafuta usi-relax sana si ndio ww ulinipiga ngumi ya taya pale Njombe ukakimbiaMwanajeshi akiwa mmoja ..unajipigia tu kama una nguvu za kupigana
Ila usijaribu wakiwa wengi
Niliwahi kupiga mjeda na gwanda zake.. na ule mkoa nilihama
na kuoga yanaziba uso kbs , yaan kumbe polisi ni majasiri kuliko jeshiMasoja ni majinga, mengi shule imepita kushoto, kupiga watu hakurudish mtu aliekufa, hayanaga akili masoja yan akishindwa mmoja yanakuja kwa kikundi, a man fights by himself…ndio mana wahuni wakimkuta soja pekeake wanampapasa matako sababu wanajua ni lilaini kama papai, yakiwa mengi yanajifanya maninja pumbavu kabisa….