Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Ungekuta ni wanaume wa dar wamemjaribu huyo mchina wangechezea kichapo hadi tusikie harufu ya mavi huku mkoani 😁😁Halafu wanaume wapo wanashadadia eti mpigeni huyo🙆🙆
Ila wanaume wa Dar 😭😭😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuta ni wanaume wa dar wamemjaribu huyo mchina wangechezea kichapo hadi tusikie harufu ya mavi huku mkoani 😁😁Halafu wanaume wapo wanashadadia eti mpigeni huyo🙆🙆
Ila wanaume wa Dar 😭😭😭
Hata kamq wanajua self self defense sheria zimewabana sana sio tu za Tanzania hata za kwao....2. Wa mipakani kwa mfano wanao pakana na india na wengine wa Tibeti kule.
Huyo atakuwa mtibeti au wa mpakani na india
au mkurya huyo, angeingia kwenye tasnia ya kina mandonga inamfaaAtakuwa mnyakyusa huyo🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Angalia vizuri kuna mwamba ana shati la drafti drafti alirusha teke flani hivi kama hataki vile
🤣🤣🤣🤣Ungekuta ni wanaume wa dar wamemjaribu huyo mchina wangechezea kichapo hadi tusikie harufu ya mavi huku mkoani 😁😁
Ushindweeeeee🤣🤣Atakuwa mnyakyusa huyo🤣🤣
🤣🤣Mkuu hii technically tunaita attacking while defending. Alooooh Mama wa kichaga anapiga nakoz kama mwanaumeHuyo dada mwenye kilemba chekundu anagawa mbata si mchezo...
Kono la kushoto limemshika mchina matai, halafu kono la kulia linashambulia kwa mcharazo...
Halafu kidogo nikutag uje umshuhudie Tuntufye alivyotuwakilisha vyema kimataifa🤣🤣🤣🤣Ushindweeeeee🤣🤣
Chun LiMchina gan anapigwa na mwanamke
Nani huyo ni Chun LiHalafu kidogo nikutag uje umshuhudie Tuntufye alivyotuwakilisha vyema kimataifa🤣🤣🤣🤣
Chun LiWachina wapo wa aina mbili. 1. Wanaofanana na kina Jackie Chan ama Bruce Lee.
2. Wa mipakani kwa mfano wanao pakana na india na wengine wa Tibeti kule.
Huyo atakuwa mtibeti au wa mpakani na india