Raila atanganza kuunda mfumo wa wananchi utakaokua serikali mbadala

Raila atanganza kuunda mfumo wa wananchi utakaokua serikali mbadala

Lol people in this thread need to go read about

How
1. SOVIET UNION broke
2. Catalonia
3. Arab spring
4. American independence
5. Omkhonto weSizwe in SA aka ANC


Ndio muje hapa museme Raila amepoteza kichwa chake anyway you will see how effective Peoples assembly will be in SPECIFIC COUNTIES

NOT
Nyeri
Kiambu
Meru
Embu
No There it will be merely a saying

See Mombasa, Makueni, Kisumu, Kakamega Turkana
Malindi Kwale etc its opposition centred reforms ...kaeni hapo mkicheka mngoje muone how effective people assemblies usually are


Its constitutional btw

Secondly its peaceful- so hakutakuwa na demos and stone throwimg yenye Githeri media imependelea iwe ...noooo itakuwa peacefull law making and total civil disobedience kama taxation nlikuwa nasema ngoja muone makampuni kwa counties zitakavyo zaliwa ilikushighulikia county zao instead of waiting for the government!!!
Well it will be peacefull unless Government meddles Na Police alafu ianze kuuwa watu Tena na Kusema Raila ndio amesababisha vifo zao


Note: Raila said they will all be Peacefull and within constitutional framework
that sound good no more people dying n destruction of property...kwa hio kuanzia sasa Masenator,Ma Mp,Ma governor n.k kwenye hizo county zitakazomfuata Raila watakua hawalipwi tena mishahara na serikali ya Jubilee...
 
Aache use.nge si akubali bwana kashindwa
 
Huwa inabidi kumuacha abwatuke atakavyo maana yule hawezi kuguswa, siku akiguswa itabidi polisi wajiandae kwa mauaji ya kimbari kule Nyanza maana wafuasi wake huwa watavuruga mpaka basi. Yaani wanamskliza neno kwa neno, chochote akisema wanakua radhi hata kufa kwa ajili yake.

Kitu naona hapa ni Jubilee, wanaishi kusubiria kujibu kila anachokisema, magazeti nayo yanakuza sana maana akizungumza tu, kurasa zote za mwanzo zinajaza kile amekisema. Hivyo kwa mtindo huo atawatesa sana, kwasababu wanaishi maisha ya kumsklizia Raila na kumjibu.
hili la media naona Citizen kama kawaida yao kujitahidi kuripoti habari za ukweli imewatokea puani..
Raila au vijana wake leo wamewashambulia wanahabari wa Citizen na Nation kwa vile waliripoti ukweli Uhuruto kupata kura milioni 7plus...wao walitaka watangaze uchaguzi huu wapiga kura walikua 3mplus...
japo Nasa wamekemea...
 
that sound good no more people dying n destruction of property...kwa hio kuanzia sasa Masenator,Ma Mp,Ma governor n.k kwenye hizo county zitakazomfuata Raila watakua hawalipwi tena mishahara na serikali ya Jubilee...
Kwanini wasilipwe wacha kuwa idiot

Kuna difference kati ya elected official na appointed official ...smh

Muonaongea nkama hamna akili ....elected official haezi nyimwa mshahara na ako na executive na legislative power mnachosha saa zingine mkiotoa maoni bila kuputia katiba..


Fyi People Assembly is a right guaranteed under picketing !!!

Mnadhani hii nchi ni yenu
 
Kwa hiyo anakiri uchaguzi ulifanyika? Ndio sababu Ruto anamwita mzee wa kitendawili..
 
Kwa hivyo ina maana haendi tena supreme court?
Dah, mto Jordan hauvukiki.
Safari imeishia cardesh benia!
 
Aache use.nge si akubali bwana kashindwa
August wakenya 15mn walipiga kura
81% turn out

Juzi Raila kajitoa kwa Kura akaambia wafuasi wake wasiende kupiga kura

Wakenya 38.8% wakapigakura

Kwa akili 81% - 38.8% = ???

42.2% ndio walibakia nyumbani
Ukiongeza na 20% walio kaa kando kwa issue tofauti ambayo sio wakikuyu au wakale kwakuwa
County kama kiambu ilikuwa 94% turnout August na kisumu ilikuwa 84%

Niambie how is Uhuru again my leader??
 
August wakenya 15mn walipiga kura
81% turn out

Juzi Raila kajitoa kwa Kura akaambia wafuasi wake wasiende kupiga kura

Wakenya 38.8% wakapigakura

Kwa akili 81% - 38.8% = ???

42.2% ndio walibakia nyumbani
Ukiongeza na 20% walio kaa kando kwa issue tofauti ambayo sio wakikuyu au wakale kwakuwa
County kama kiambu ilikuwa 94% turnout August na kisumu ilikuwa 84%

Niambie how is Uhuru again my leader??
acha udungayembe wewe utaendaje kupiga kura na miwatu ya RAO imekaba kila kona kuhakikisha hakuna anapiga kura ?
watu hawajapiga kura kutokana na kuogopa takataka za RAO ambazo zinaweza sababisha maumivu.
ko takwimu zako bado hazina uzito kusema kwamba 42% ambayo haijapiga kura ni takataka za RAO.

tumia akili ww
 
August wakenya 15mn walipiga kura
81% turn out

Juzi Raila kajitoa kwa Kura akaambia wafuasi wake wasiende kupiga kura

Wakenya 38.8% wakapigakura

Kwa akili 81% - 38.8% = ???

42.2% ndio walibakia nyumbani
Ukiongeza na 20% walio kaa kando kwa issue tofauti ambayo sio wakikuyu au wakale kwakuwa
County kama kiambu ilikuwa 94% turnout August na kisumu ilikuwa 84%

Niambie how is Uhuru again my leader??
Acha ujaruo wa kijinga sasa kama alikuwa anaweza kuichukua nchi si angeprove kwenye huo uchaguzi sasa aliwastopisha wasiende kupiga kura ili agundue nini sasa.Mi namuona kama maalim seif tu
 
Acha ujaruo wa kijinga sasa kama alikuwa anaweza kuichukua nchi si angeprove kwenye huo uchaguzi sasa aliwastopisha wasiende kupiga kura ili agundue nini sasa.Mi namuona kama maalim seif tu
Again mm sio mjaluo
Am not even Nilote
Am a Bantu....
 
Acha ujaruo wa kijinga sasa kama alikuwa anaweza kuichukua nchi si angeprove kwenye huo uchaguzi sasa aliwastopisha wasiende kupiga kura ili agundue nini sasa.Mi namuona kama maalim seif tu
Ange prove aje kwa debe kama ulivyoona wamekuwa wakibadilisha matokeo baada ya kura mpaka makwao - mpaka wakapatikana kwa camera : google alice wahome


Nikuulize kwanini raila alijotoa kwa debe?

Wakuu wa tume ya uchaguzi siku nne kabla ya Uchaguzi walisema hawawezi peana matokea ya Ukweli na ya haki

Mmoja wao akahofia maisha yake akatorokea marekani

Jaji mkuu akajaribu kuuliwa na watubwasio julikana....mnabishana na hamna facts


Nikama Mechi

Utaingiaje kucheza mechi ukijua wazi kuwa Refa kesha sema kwamba Mpinzani wako tayari kesha pewa bao moja ya lazima na refa tayari kesha sema Matokea ya mechi hayatakuwa ya Haki??

The fact that most Africans cannot see that is why we are a poor continent

Raila has been Opposition since Kenyas Independence
Lakini Utapata Mizombie ikishout "Lord of Poverty" as if opposition leaders in Africa are given funds by government for development!!

Utter idiocy!!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Ange prove aje kwa debe kama ulivyoona wamekuwa wakibadilisha matokeo baada ya kura mpaka makwao - mpaka wakapatikana kwa camera : google alice wahome


Nikuulize kwanini raila alijotoa kwa debe?

Wakuu wa tume ya uchaguzi siku nne kabla ya Uchaguzi walisema hawawezi peana matokea ya Ukweli na ya haki

Mmoja wao akahofia maisha yake akatorokea marekani

Jaji mkuu akajaribu kuuliwa na watubwasio julikana....mnabishana na hamna facts
Laleni mbele na ukabila wenu.Na mkiemdelea hivyo mtatwangana vita mfe wote kwa kuendekeza ukabila.Watalii mpaka sasa wanaogopa kuja nchini kwenu wanadai kuna dalili ya vita ona sasa mnavyojiaribia
 
Laleni mbele na ukabila wenu.Na mkiemdelea hivyo mtatwangana vita mfe wote kwa kuendekeza ukabila.Watalii mpaka sasa wanaogopa kuja nchini kwenu wanadai kuna dalili ya vita ona sasa mnavyojiaribia
Wacha kubadilisha story ikue ukabila hakuna cha ukabila hapa ...nime kupa facts sasa unaanza kuchukua neutral stance aka ukabila idiot

Wewe lala huko LCD yenu
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wacha kubadilisha story ikue ukabila hakuna cha ukabila hapa ...nime kupa facts sasa unaanza kuchukua neutral stance aka ukabila idiot

Wewe lala huko LCD yenu
Kwani mvutano wa uhuru na huyo odinga asili yake ni nini kama sio ukabila msilifiche hilo
 
Kwani mvutano wa uhuru na huyo odinga asili yake ni nini kama sio ukabila msilifiche hilo
Soma historia

Odinga na Babake kama nyerere ni Sociolists

Kenyatta na Jomo ni Capitalists

The west supported Jomo Kenyatta for that Juu ya cold war na russia

Istoshe

Wazungu walivyo kuwa wanataka kupea kenya madaraka

Odinga mkuu ndiye walipea uongozi waKenya

Jaramogi Odinga akasema hawezi chukua usukani wa nchi mpaka
Jomo kenyatta aliekuwa Jela miaka 10 apewe Uhuru- huu naona ulikuwa ujinga mkuu upande wake!!

Jomo kenyatta kuachiliwa akakuwa
Waziri mkuu na kuweka Jaramogi Naibu wake ...baada ya miaka mbili wakaanza kutofautiana kuhusu kila kitu

Odinga akajitoa KANU na Kuanzisha KADU

Tangu wakati huo mpaka 1994 amekuwa mpinzani Kenya akafs 1994 Raila akiwa Jela kwa Upinzani seriksli ya Moi sasa mtoto Raila amekuwa upinzani bado...


FYI in 2003-2006
Raila na Uhuru walikuwa pamojs wote wapinzani serikali ya Kibaki

Walikula Teargas pamoja sasa amesahau
 
Umenoa Jombaa hela hawana bana NASA, ODM, Wiper, NRM, Peoples Parliament wote wamesota kama mbwa koko. Aliye na hela sasa hivi ni role model wangu, his excellency Jimmy Wanjigi, akisepa tu bila kulipa bill, RAO na Kalanzo wanachonga viazi hadi kieleweke!
Hapa ndipo unafik wao unanuka vibaya sana. Yaani wana hela sana lakini ona wafuasi wao kijinga wamejaa kibera,mathare kangemi wanaishi umaskini mkubwa na wanatumiwa na hawa mabwenyenye kama condoms.
 
Sasa RAO anadiliki kutamka hivyo, hiyo si "coup d'etat"?
Naona serikali inapaswa ku exercise power zake. Haiwezekani wachezewe kiasi hicho.
Kila kukicha anaibuka na jipya.
Huyu mjinga Raila bado ana fikra zile zake za 1982 coup ,kuchochea machafuko ya 2007/08 na maandamano dhidi ya IEBC ambayo walimwaga damu.Atukome tumechoka na unafik wake na kuharibu nchi ya Kenya kwa tamaa yake ya urais.
 
Back
Top Bottom