Raila atanganza kuunda mfumo wa wananchi utakaokua serikali mbadala

Raila atanganza kuunda mfumo wa wananchi utakaokua serikali mbadala

https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/11/199424_a8c542ba0673cb0ff6386644dbcc8a13.jpg
 
Hizi ndiyo akili zenu maTZ,ccm itawatawala mpaka YESU arudi....jitu mpaka Leo halioni kinyaa watumishi wote wa tume ya uchaguzi wanateuliwa na rais, madc,marc,wakurugenzi,wote hao kwenye uchaguzi wanashiriki kuipendelea serikali iliyoko madarakan...halafu unakuja hapa kuongea mavi mavi kuhusu demokrasia ya Kenya...hawa wenzetu mwelekeo wao ni mzuri ,wemebakiza step moja tu kuwa na system kama nchi zenye demokrasia ya kweli. Hizi ni changamoto za mwisho mwisho towards the Bright future of their democracy. Tz hama cha mahakama,Hamna cha bunge ,hamna cha serikali ,hamna cha chama tawala ,vyote vinaongozwa na rais na ndiyo mwenye kuwaamrisha mambo ya kufanya.Ndiyo maana hata vikao vya chama vinafanyikia ikulu.Watanzania ni mazezeta kabisa....Big up Kenya!!!!
Acha ujinga wewe, hasira zako na flustration zako za kukosa kazi na kizunguka barabarani zisikufanye ukavua nguo ukatembea barabarani ukiwa uchi, utadhalilika na kuabika, vigezo vyote vya kidunia vinaonyesha Tanzania ipo juu ya Kenya tena kwa mbali sana katika suala zima la demokrasia na utawala bora, Kenya haijawahi kuipita Tanzania hata mwaka mmoja katika nyanja ya demokrasia na utawala bora tangu nchi hizi zipate Uhuru, kama una ushahidi leta hapa tuone, ni kweli kwamba Magufuli ameanza kupunguza uhuru wa mambo mbali mbali, lakini hata hivyo taarifa iliyotolewa mwaka huu na World transparency International imeiweka Tanzania hatua 11 zaidi juu ya Keny, sasa wewe kwa sababu Kikwete alikua anatuchekea, sasa hivi hatuchekewi tena ndiyo unalinganisha na Kenya?, huna unalojua sema ueleweshwe.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
August wakenya 15mn walipiga kura
81% turn out

Juzi Raila kajitoa kwa Kura akaambia wafuasi wake wasiende kupiga kura

Wakenya 38.8% wakapigakura

Kwa akili 81% - 38.8% = ???

42.2% ndio walibakia nyumbani
Ukiongeza na 20% walio kaa kando kwa issue tofauti ambayo sio wakikuyu au wakale kwakuwa
County kama kiambu ilikuwa 94% turnout August na kisumu ilikuwa 84%

Niambie how is Uhuru again my leader??
Kwa assumption hii mtaishia kuisikia kwenye TV Ikulu ya Kenya.Nimecheka na kukuhurumia at the same time.
 
ukabila utaisha kenya siku mbishi raila atakapostaafu siasa
 
ukabila utaisha kenya siku mbishi raila atakapostaafu siasa
Hvo ndivyo walivyo sema juu ya Tom Mboya 1969 wakamuuwa

Wakasema Hvo wakalenjin Wakagi wa J.M Kariuki Ouko wakawauwa...

Wakasema hvo 1992 wakati wa Matiba FYI

Kenya kumekuwa na Vita baada ya Uchaguzi kutoka 1992 wakati multi partysm ilipoimgishwa.......

1992 in Rift Valley after moi Won again Kalenjins Chases all bantus including my Dad who was a government official in Londiani then and Most Kikuyus!!!...juu Kenneth Matiba nearly won ....Raila wasnt even a major Politician in 1992

In 1997 Kibaki was the chief opposition Candidate there was post election violence then

In 2002 when Kibaki won with Raila support was the first peaceful voting period 2007 we all saw what happened 1100 died ....2013 the county elections were marred by violence and intimidation but less than 10 people died then

2017 ...76 are already dead!!!
 
Ameachwa kwa muda mrefu???

Fool

Raila aliwekwa Jela 9yrs kwa kuwa opposition leader!!!

Ameachwa kwa muda mrefu!!

Mnaona hana akili kwa kile anachofanya!!!

This is constitutional and calculated

Niambie sasa hapo amevunja sheria gani ndio awekwe ndani??

Miafrika na akili ya ki dictator kila mahali lakini inataka kuishi kama mzungu!!

The only reason most Tanzanians Hate Raila ni juu ni Rafiki ya Magu

Magu ni dictator huko

Lakini solutions zenu zote za kudeal na Raila ni za ki dictator!!

Mtakaa hapa muone akifanya mema for the opposition supporters mtii
Unaonyesha una frustrations, lugha zako tu hazifichi nini kinachoendelea kichwani mwako. Rejea comments zako nyingi, ukitulia utajiona ulivyo na matatizo! Otherwise, hautofautiani na RAO!
 
"He said that Nasa would instead push for the formation of the People's Assembly to run Kenya until a legitimate government is formed".

LOL!! no comment here.
 
Kama alivyokua ameahidi, kwamba atatoa tamko lililokua limesubiriwa, atangaza kwamba atawakusanya makundi mbali mbali ya kijamii na kuunda mfumo mbadala wa serikali ambao utaongoza hadi siku serikali halali itakapobuniwa.

-----------------------------------------------------------------

Kenya's opposition National Super Alliance (Nasa) has dismissed the October 26 repeat presidential election.

The coalition's leader Raila Odinga, speaking for the first time since President Uhuru Kenyatta was declared winner, termed the election as fraud and vowed not to recognise him and his government.

He said that Nasa would instead push for the formation of the People's Assembly to run Kenya until a legitimate government is formed.

“Today we establish People's Assembly to restore democracy in the country,” Mr Odinga said in Nairobi.

“The People’s Assembly will have the youth, religious leaders, economic interest groups and the civil society.”

Nasa, he said, would present petitions for the establishment of the new outfit to govern Kenya to county assemblies for discussion and adoption.

“The assembly's timetable to be released soon,” he said.

National Resistance Movement

In the meantime, Mr Odinga said, Nasa’s resistance wing (NRM) would embark on vigorous pro-democracy campaign through economic boycotts and picketing.

Mr Odinga cast aspersions on the preparation and conduct of the repeat presidential election, saying it fell short of the standards set by poll laws, the Constitution and the Supreme Court.

Mr Kenyatta was declared the winner by the electoral commission IEBC with over 98 per cent of the votes cast in an election boycotted by Nasa.

But Mr Odinga said IEBC failed to conduct the repeat vote as directed by the apex court and instead the ruling Jubilee government, through county police commanders and its politicians, ran the show.

He claimed numbers were inflated in several Jubilee strongholds to give Mr Kenyatta the win and create an impression that Kenyans took part in the exercise.

Kenya opposition to form 'People's Assembly'
Fake news. You always give fair opinion on issues until your heading in this case came from fake news factory by you. Peoples assembly ain't serikali badala but a gathering to correct public views and prepare a working document for among others use it to amend the Constitution as provided through the county Assemblies in the katiba ya Kenya
 
Fake need. You always giving fair opinion on issues until you heading in this case from fake need factory. Peoples assembly ain't serikali badass but a gathering to correct views and prepare a working document for among others use it to amend the Constitution as provided through the county Assemblies in the katiba ya Kenya
Formation of the People's Assembly to run Kenya until a legitimate government is formed.

Read that in read and translate it for me.
 
Formation of the People's Assembly to run Kenya until a legitimate government is formed.

Read that in read and translate it for me.
Use your brain don't rely on other fake news sources. Google if you need to. You are smart man I will suppose! They been formed before all over the world!!
 
Unaonyesha una frustrations, lugha zako tu hazifichi nini kinachoendelea kichwani mwako. Rejea comments zako nyingi, ukitulia utajiona ulivyo na matatizo! Otherwise, hautofautiani na RAO!
Sawa chopi....now take your shits and eat them cause i dont gve two

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom