Raila Loses His Cool, Calls Uhuru and Ruto Criminals

Raila Loses His Cool, Calls Uhuru and Ruto Criminals

keshasema anaenda mahakamani. sasa mbona anatoa hukumu na kuita watu criminals.

Hiyo ya criminals inahusiana na yale mashitaka ya Kenyatta na Ruto ambapo wanatuhumiwa kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu. Kwa vile hawajapatikana na hatia bado si sahihi kuwaita wahalifu. Licha ya hivyo, Raila ana haki zote za kwenda mahakamani na mimi kwa hilo namuunga mkono bila shaka yoyote kabisa.

hayo ndo maneno ya uchochezi ambayo siku ile ya debate ya kwanza na ya pili wote kwa kauli moja walikubali hawayataki.
you wonder how kenneth is still my choice (shhhh!)

Hahaaa wewe na Kenny boy wako bana. King'asti Kenneth...
 
Hata akitiwa ndimu hatafaa kwa kulumangia na akiungwa tui la nazi hatafaa kutowezea....
🙂 asalam aleykum
Uwapo?

Niwapo, naona umemaliza kila kitu 🙂

Odinga mwache akajibabaishie mahakamani huko, kisha tumuache apumue

Mikakati yake haikutosha kumtwalia urais wa Kenya
 
Wanasiasa wa kiafrika wakati mwingine ni aibu tupu hasa wale waliokuwa na madaraka makubwa, kwanini huwa hawapendi kukubali maamuzi ya wapiga kura? Kipi kinachomfanya Raila aamini kuwa ameibiwa kura, huko ku delay kutangaza matokeo?! mi nafikiri ifike mahali akubali tu kwa Amani ya Kenya!
 
Wanasiasa wa kiafrika wakati mwingine ni aibu tupu hasa wale waliokuwa na madaraka makubwa, kwanini huwa hawapendi kukubali maamuzi ya wapiga kura? Kipi kinachomfanya Raila aamini kuwa ameibiwa kura, huko ku delay kutangaza matokeo?! mi nafikiri ifike mahali akubali tu kwa Amani ya Kenya!

Usimlaumu sana Raila kwani once bitten twice shy. Mimi naamini kabisa kwamba 2007 alidhulumiwa.

Na hata mwaka huu, jinsi ambavyo matokeo yalivyokuwa yanatangazwa, kwa mtu yeyote mwenye kuangalia mambo katika multi-dimensional view ataona kwamba mazingira ya uchakachuaji yalikuwepo.

Wewe fikiria, uchaguzi umefanyika Jumatatu na matokeo kamili yakatangzwa Jumamosi. Kwa nini? Yaani unataka kuniambia kazi ya kuhesabu kura ni ngumu kiasi hicho hadi kuchukua masiku yote hayo?

Mbona Marekani matokeo hutangazwa siku hiyo hiyo tu. Kuna ugumu gani baada ya muda wa kupiga kura kuisha na kuanza kuzihesabu kura papo hapo mbele ya hadhara?

Sasa hawa Wakenya hiyo tume hayo ilinunua sijui limtambo la kielektroniki na baada ya kuanza kuzihesabu hizo kura likabuma. Ni kweli lilibuma au kuna mtu alifanya hujuma za makusudi ili kazi ya kuhesabu icheleweshwe?

Haya tuje kwa wale returning officers au ofisaaz kama anavyowaita Bw. Hassan. Hawa walikuwa 291 na walilazimika kurudi Nairobi kuyaleta matokeo ya vituo yao. Si wote ambao waliweza kurudi katika muda mzuri. Wengine walichukua siku 4 hadi 5.

Kuna uhakikisho gani kwamba humo njiani hawakuweza kufanya ujanja ujanja wao? Na kwa nini imchukue mtu siku zote hizo kurudi Nairobi?

Sasa mazingira hayo changanya na siasa za kikabila pamoja na historia ya nyuma, huhitaji kuwa brain surgeon kutambua kwamba mazingira ya kuwezesha uchakachuaji yalikuwepo.

Ndiyo mnamtaka Raila akubali tu kirahisi rahisi hivyo? No way Jose. Hata ingekuwa mimi nisingekubali kirahisi hivyo.
 
Usimlaumu sana Raila kwani once bitten twice shy. Mimi naamini kabisa kwamba 2007 alidhulumiwa.

Na hata mwaka huu, jinsi ambavyo matokeo yalivyokuwa yanatangazwa, kwa mtu yeyote mwenye kuangalia mambo katika multi-dimensional view ataona kwamba mazingira ya uchakachuaji yalikuwepo.

Wewe fikiria, uchaguzi umefanyika Jumatatu na matokeo kamili yakatangzwa Jumamosi. Kwa nini? Yaani unataka kuniambia kazi ya kuhesabu kura ni ngumu kiasi hicho hadi kuchukua masiku yote hayo?

Mbona Marekani matokeo hutangazwa siku hiyo hiyo tu. Kuna ugumu gani baada ya muda wa kupiga kura kuisha na kuanza kuzihesabu kura papo hapo mbele ya hadhara?

Sasa hawa Wakenya hiyo tume hayo ilinunua sijui limtambo la kielektroniki na baada ya kuanza kuzihesabu hizo kura likabuma. Ni kweli lilibuma au kuna mtu alifanya hujuma za makusudi ili kazi ya kuhesabu icheleweshwe?

Haya tuje kwa wale returning officers au ofisaaz kama anavyowaita Bw. Hassan. Hawa walikuwa 291 na walilazimika kurudi Nairobi kuyaleta matokeo ya vituo yao. Si wote ambao waliweza kurudi katika muda mzuri. Wengine walichukua siku 4 hadi 5.

Kuna uhakikisho gani kwamba humo njiani hawakuweza kufanya ujanja ujanja wao? Na kwa nini imchukue mtu siku zote hizo kurudi Nairobi?

Sasa mazingira hayo changanya na siasa za kikabila pamoja na historia ya nyuma, huhitaji kuwa brain surgeon kutambua kwamba mazingira ya kuwezesha uchakachuaji yalikuwepo.

Ndiyo mnamtaka Raila akubali tu kirahisi rahisi hivyo? No way Jose. Hata ingekuwa mimi nisingekubali kirahisi hivyo.

Ni sawa hata mimi naamini 2007 Raila alidhulumiwa ushindi lakini hiyo sasa ni hadithi japo inasaidia katika kueleza mazingira ya sasa, the question is wale observers wa Cord waliokuwa huko kwenye polling stations walisign karatasi za matokeo kuashiria kuwa wamekubali matokeo au la! if yes then it means Cord wamesalitiwa na watu wao wenyewe na if not then how come IEBC iliweza tangaza results? hilo la kura kupigwa Jumatatu na matokeo kutangazwa Jumamosi bado linawezekana hasa ukizingatia (inabidi kwa sasa tuamini tu hivyo sababu hatuna ushahidi mbadala) kuwa mashine za kuhesabu kura ziliharibika! maafisa kuchelewa kufika Nairobi inategemea na walipokuwa! All in all nimesikia Kilonzo anasema wanakwenda court wakiwa na full confidence wish them luck! Haraaaaaambe! Haraaaaambe! kenyans jengeni Nyayo yenu, sisi wana East Africa tuko anxious kuona the first Disney land in Africa (Mji wa kielectronic )
 
Ni sawa hata mimi naamini 2007 Raila alidhulumiwa ushindi lakini hiyo sasa ni hadithi japo inasaidia katika kueleza mazingira ya sasa, the question is wale observers wa Cord waliokuwa huko kwenye polling stations walisign karatasi za matokeo kuashiria kuwa wamekubali matokeo au la! if yes then it means Cord wamesalitiwa na watu wao wenyewe na if not then how come IEBC iliweza tangaza results? hilo la kura kupigwa Jumatatu na matokeo kutangazwa Jumamosi bado linawezekana hasa ukizingatia (inabidi kwa sasa tuamini tu hivyo sababu hatuna ushahidi mbadala) kuwa mashine za kuhesabu kura ziliharibika! maafisa kuchelewa kufika Nairobi inategemea na walipokuwa! All in all nimesikia Kilonzo anasema wanakwenda court wakiwa na full confidence wish them luck! Haraaaaaambe! Haraaaaambe! kenyans jengeni Nyayo yenu, sisi wana East Africa tuko anxious kuona the first Disney land in Africa (Mji wa kielectronic )

Mazingira ya uchakachuzi kwenye huu uchaguzi yalikuwepo ingawa hiyo pekee haina maana kwamba uchakachuzi ulitokea.

Na hiyo ya kupiga kura Jumatatu na kuchukua siku sita kujumlisha kura kwangu haiingii akilini kabisa kwani hesabu za kujumlisha si ngumu kihivyo. Hata kiddo wangu anaweza kujumlisha bila ya karatasi, kalamu, wala kikokoteo.

Kwa ujumla chaguzi za Afrika ni usanii na vurugu mechi tupu. Rejelea Zanzibar 1995 - hivi kweli unaamini Salmin alishinda kihalali ule uchaguzi? Manake na huko matokeo yalichelewa kutangazwa. Pia rejelea Zimbabwe kati ya Mugabe na Chengarai....huu uchaguzi nao ulikuwa vituko mtupu maana Mugabe naye aliapishwa chap chap kama alivyofanya Kibaki ile 2007. Haya..nenda Ivory Coast....Gbabo aligoma kuachia urais kisa anadai eti kashinda uchaguzi. Hadi akaja kuadhirika kwa kuburutwa toka mafichoni akiwa tumbo wazi.

Huko Rwanda nako Kagame huwa anachaguliwa kwa asilimia 90 plus..... So go figure! Uganda usiombe kabisa. Ni undava mwanzo mwisho.

The fact that Kenya safari hii hawajatumbukia machafukoni ni laudable. Lakini hiyo so called tume huru ya chaguzi na mipaka bado ina safari ndefu sana. Na binafsi sidhani kama iko huru kihivyo....
 
kwa nini hatuoni yule mapambano choir master/kajwang akishughulika sana, sio kwa sababu alipendelea manual voter election na ndio ilitekelezwa na isaack hassan? kundi la CORD na wafuate nyayo zake maana ameridhika na kazi ya tume la IEBC

tatizo la machine inaweza kuwa manupilated kuleta figures ambao sio kweli, na manual voter regisration though cumbersome is more reliable and accurate
 
Nyani Gabu

Mwaka 2007 ni kweli R(uto)aila waliibiwa kura lakini, mwaka huu Ruto kawithdraw kura zake na kuzipeleka kunakostaili, Raila kwenye huu uchaguzi kashindwa kama uchakachuaji si lazima wachakachue u-Rais hao waliochukua siku 7 kufika Nairobi walikuwa buzz kuchakachua ubunge na ugavana kwanini tusione ktk mtazamo huo.

Kwa muono wangu, zile mashine hazikuharibika ila zilikuwa attacked na vijana wa west baada yakuona mambo kijana wao maji ya shingo yanamwelekea, na ndiyo maana pia ukitazama picha zima kwa darubini pana zaidi si IEBC ndo wali-resort kuhesabu manual, bali ni CORD hao hao ndo waligundua kuna tatizo ambalo limeweka constant ya kura 600 na software, na ni CORD ndo waliwaambia IEBC wahesabu kwa manual.
Jinsi CORD walivyotambua hiyo software kuna uwalakini mkubwa sana, hii nafikiri cord waliambiwa na vijana wa magharibi baada ya ku attack hizo server.
 
Nyani Gabu

Mwaka 2007 ni kweli R(uto)aila waliibiwa kura lakini, mwaka huu Ruto kawithdraw kura zake na kuzipeleka kunakostaili, Raila kwenye huu uchaguzi kashindwa kama uchakachuaji si lazima wachakachue u-Rais hao waliochukua siku 7 kufika Nairobi walikuwa buzz kuchakachua ubunge na ugavana kwanini tusione ktk mtazamo huo.

Kwa muono wangu, zile mashine hazikuharibika ila zilikuwa attacked na vijana wa west baada yakuona mambo kijana wao maji ya shingo yanamwelekea, na ndiyo maana pia ukitazama picha zima kwa darubini pana zaidi si IEBC ndo wali-resort kuhesabu manual, bali ni CORD hao hao ndo waligundua kuna tatizo ambalo limeweka constant ya kura 600 na software, na ni CORD ndo waliwaambia IEBC wahesabu kwa manual.
Jinsi CORD walivyotambua hiyo software kuna uwalakini mkubwa sana, hii nafikiri cord waliambiwa na vijana wa magharibi baada ya ku attack hizo server.

I am not going to put anything past anybody. Chaguzi za Afrika zina mambo mengi ambayo huwa hayaingii akilini.

Kura mnapiga Jumatatu kuzihesabu inachukua siku sita! Amazing!!

Na urais ndiyo the biggest prize. Hivyo it makes all the sense in the world kwamba wezi wa chaguzi hulenga kuchakachua matokeo yake.

Binafsi sina hakika sana kama Uhuru kashinda fair and square kwa sababu ya hayo mazingira ya utata utata kuhusiana na uhesabuji wa kura.

Kwa mfano tu, hivi unadhani kweli kabisa kwamba Museveni na Mugabe huwa wanashinda kihalali kabisa?
 
Raila ni JEMBE hata hao CRIMINALS wanajua hilo... i can assure you RAO haters mtakimbia soon maan yule Mlevi hataapishwa...kura wameiba na ndio mana wakashinda hawana kitu wale wahuni tu...
 
Odinga is at it again......in the Prime Mister hood campaign.
If you think that Odinga is appealing for the presidency you are wrong, he is only fighting to remain in the office.
 
I am not going to put anything past anybody. Chaguzi za Afrika zina mambo mengi ambayo huwa hayaingii akilini.

Kura mnapiga Jumatatu kuzihesabu inachukua siku sita! Amazing!!

Na urais ndiyo the biggest prize. Hivyo it makes all the sense in the world kwamba wezi wa chaguzi hulenga kuchakachua matokeo yake.

Binafsi sina hakika sana kama Uhuru kashinda fair and square kwa sababu ya hayo mazingira ya utata utata kuhusiana na uhesabuji wa kura.

Kwa mfano tu, hivi unadhani kweli kabisa kwamba Museveni na Mugabe huwa wanashinda kihalali kabisa?

Nakubaliana na wewe, hata Obama na Nentenyahu unafikiri wanashinda kwa halali? sema waafrika ni vin'gang'anizi kama viroboto, wezetu wanashindwa wengine kwa mizingwe kabisa lakini wanakubali matokeo fasta ili kuonyesha wao mambo safi. Mfano sifikirii kama Putin alishinda na Sarkozy alishindwa squarely.

Uchaguzi huu wa Kenya hata wakirudia kwa kunyosha mikono juu bado Raila atashindwa tu. Raila ameshindwa mara tatu, mara ya kwanza wala hakuwa na kura nyingi za kutishia kwamba ameibiwa, mara ya pili ni kweli alishinda maana archtect mkuu alikuwa Ruto, ila watu wanafikiri mwaka 2007 ni sababu ya Raila. Nafikiri si kweli, Ruto ndiye alisababisha kura za Raila.
Na ndiyo maana bifu lilipotokea wapiganaji walikuwa kutokea upande wa Ruto, ndo walipeleka Libeneke kwa hali ya juu. Na ndiyo maana uchakajuaji ule wa mwaka 2007 wala hawakuhesabu kura mpaka mwisho. Raila safari hii angeshinda kama Ruto na Uhuru kila mmoja angegombea Urais. but, as long as UHURUTO wako pamoja hata wananchi wakipiga kura kwa kunyosha vidole juu bado Raila atashindwa.

Siku sita inabidi uangalie sasa kwa upande wa Raila, je huko nyaza stronghood ya Raila wote walifika siku ya mwanzo? mbona majibu ya kutoka western counties nayo walichelewesha yani upande wa Raila. Kosa siyo IEBC kuhesabu, kosa ni wote upande wa jubillee na cord walikuwa wanategeana kuleta majibu ili yatangazwe. Nitakubaliana na dukuduku lako kama upande wa Raila walifikisha data zinazotakiwa siku iliyofuata.
 
Dada king'asti,kikuyus uwezi kuwashinda kwa ubishi,na ndio wamejaa humu.hawa jamaa ni ma trouble makers sana.haki ya nani cord wakishinda kesi utaona jeshi lao la mungiki litakavyo fanya.yaani wao wanaona kwamba wao ndio the choosen tribe ambao wanafaa kuongoza.alafu ni wabaguzi sana.angalia utawala wa kibaki nafasi nyeti kwenye taasisi za serikali ni mkikuyu tu.

mungiki landlord wao mpya ni muungano wa CORD, FYI!
 
mungiki landlord wao mpya ni muungano wa CORD, FYI!

The dejected leader might be in cord bt surprisingly enaf Raila faired dismally in capturing their votes. A sign Mungiki when it comes to elections they revert back to their tribal enclave. So i wouldnt assume mungiki is in cord, even the leader failed in his supposedly to be 'stronghold' too.
 
The dejected leader might be in cord bt surprisingly enaf Raila faired dismally in capturing their votes. A sign Mungiki when it comes to elections they revert back to their tribal enclave. So i wouldnt assume mungiki is in cord, even the leader failed in his supposedly to be 'stronghold' too.

mungiki/mkenya solidarity movement thought politics was easy, however it will not come as a surprise if they slowly crawl back to ask for accomodation in jubilee. they are though tainted and CORD is their rightful place
 
Raila lost by 600 000.everyone identifies with a tribe if that is not acceptable too bad. At one point i respected this man but he is starting to sound like a broken record.(actually he is a broken record in that he has lost every election due to arrogance) he was too confident he was going to win he forgot to get his people to register as voters. If a kenya Indian is qualified why can he be the CJ? Or are you being tribal or racist now?
Another Luo will be president but not Raila but hey Obama is already president.Would have been nice though to have to luo presidents.
 
Wewe mkikuyu umeishi naye? stop using a stereotype to define a tribe you have had no relationship with. The kalenjin and meru tribes are huge tribes and they voted Uhuru. Most people are jealous of the achievements of the kikuyu who are among the most hardworking people with a never say die attitude. Kikuyu will turn every obstacle into an opportunity.Kibaki has been a great president for Kenya and History will judge as that.
 
halafu eti Watanzania tunatakiwa tujifunze kutokana na uchaguzi wa Kenya. Sasa sijui tujifunze nini mbna ni yale yale kama kwetu tu?
 
Back
Top Bottom