Raila Loses His Cool, Calls Uhuru and Ruto Criminals

Raila Loses His Cool, Calls Uhuru and Ruto Criminals

Wanasiasa wa kiafrika wakati mwingine ni aibu tupu hasa wale waliokuwa na madaraka makubwa, kwanini huwa hawapendi kukubali maamuzi ya wapiga kura? Kipi kinachomfanya Raila aamini kuwa ameibiwa kura, huko ku delay kutangaza matokeo?! mi nafikiri ifike mahali akubali tu kwa Amani ya Kenya!

I have seen that most of pple know nothing about CORD and Rao,try to be critical and make strong argument with evidences.
 
Hata kama hatashinda uchaguzi ukirudiwa si vyema kumminyia haki yake. Hivyo, aachwe aende mahakamani ambako haijulikani kama mahakama itakubaliana naye au la manake chaguzi za Afrika zimejaa mizengwe kibao.

Inawezekana kweli team Uhuru walichakachua matokeo kwa sababu margin iliyompa ushindi nayo ni suspect vilevile. Mtu unashinda kwa .07....that's barely making it.

Namuunga mkono Raila kwenda mahakamani. Ni haki yake kama ilivyo haki kwa Mkenya yeyote yule.

hii ilikuwa porojo ilofaa kuendela hata baada ya uchaguzi. hata wakipewa numbers za kenya na kura zilizopigwa na IEBC wasingekubali. ni mbinu ya kulilia wadhifa indirectly
 
African laws are weird. Calling people criminals without been proven guilty is a crime.
 
RAO hii chuki utaiacha lini? Huyo ni Rais wako
 
Back
Top Bottom