Johnson Alex Otieno
Senior Member
- Mar 14, 2013
- 172
- 57
Wanasiasa wa kiafrika wakati mwingine ni aibu tupu hasa wale waliokuwa na madaraka makubwa, kwanini huwa hawapendi kukubali maamuzi ya wapiga kura? Kipi kinachomfanya Raila aamini kuwa ameibiwa kura, huko ku delay kutangaza matokeo?! mi nafikiri ifike mahali akubali tu kwa Amani ya Kenya!
I have seen that most of pple know nothing about CORD and Rao,try to be critical and make strong argument with evidences.