Wanajitolea ili kutetea haki. Watapewa token tuNi muda wa mawakili kula vya Raila
Fo shuaaAkiongea na vituo vya KTN na Al Jazeera, mwanasheria wa kambi ya Odinga, Wakili Daniel Maanzo, amesema tayari leo asubuhi wamekwisha fungua kesi ktk Mahakama ya Juu 'Supreme Court' kwa njia ya ki electronic, na wapinzani wao, tume ya uchaguzi pamoja na bw. Ruto mwenyewe wana siku 4 za kujibu.
Babu kalianzisha tena upya huko. Kwa mujibu wa sheria zao ni kwamba Mahakama hio itakua na maamuzi ya aina tatu tu yaani, kuthibitisha matokeo yaliotolewa yalikua halali, kuyafutilia mbali matokeo hayo au kuomba uchaguzi urudiwe upya.
Kenya anaendelea kua baba wa demokrasia africa nzima🙌🏾, tunalo kubwa sana la kujifunza toka kwa hawa jamaa.
Akili ya na utashi wa kujifunza upo ndugu yangu?Akiongea na vituo vya KTN na Al Jazeera, mwanasheria wa kambi ya Odinga, Wakili Daniel Maanzo, amesema tayari leo asubuhi wamekwisha fungua kesi ktk Mahakama ya Juu 'Supreme Court' kwa njia ya ki electronic, na wapinzani wao, tume ya uchaguzi pamoja na bw. Ruto mwenyewe wana siku 4 za kujibu.
Babu kalianzisha tena upya huko. Kwa mujibu wa sheria zao ni kwamba Mahakama hio itakua na maamuzi ya aina tatu tu yaani, kuthibitisha matokeo yaliotolewa yalikua halali, kuyafutilia mbali matokeo hayo au kuomba uchaguzi urudiwe upya.
Kenya anaendelea kua baba wa demokrasia africa nzima🙌🏾, tunalo kubwa sana la kujifunza toka kwa hawa jamaa.
Rafiki habariFo shuaa
Hajasema kashinda kasema hakukuwa na mshindi,Raila Odinga amesema Wana ushahidi wa kutosha kwamba IEBC iliweka watu wa kuiba kura pale Bomas ili kumnufaisha mpinzani wake Mkuu
Raila amesema siku uovu wa IEBC utakapowekwa wazi Wakenya watashikwa na mshangao
Source Citizen tv
Mytake: NEC ina Nafuu
Endelea kubishaHajasema kashinda kasema hakukuwa na mshindi,
Haki gani, mkuu? Hao jamaa zako waliaponzwa na Uhuru kwamba Ikulu ni yaoWanajitolea ili kutetea haki. Watapewa token tu