Raila Odinga akataa matokeo na ameahidi kufikisha malalamiko Mahakama Kuu.

Raila Odinga akataa matokeo na ameahidi kufikisha malalamiko Mahakama Kuu.

Prisoner 46664

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2010
Posts
1,948
Reaction score
1,238
Source: BBC

Raila Odinga amekataa kukubali matokeo ya urais yaliyompa ushindi wa asilimia 50.03 mpinzani wake bwana Uhuru Kenyatta. Ameahidi kuwa atafikisha malalamiko yake mahakamani.

My take: Mwaka 2007 bwana Odinga alikataa kupeleka malalamiko juu ya matokeo ya urais mahakamani kwa sababu kuwa mahakama hazikuwa na usawa wa kuwezesha haki kutendeka..je mahakama zimekuwa za kuaminika sasa wakati ambao yeye ni mmoja wa serikali iliyo madarakani?

Lets wait and see..






16113_305497579555645_15189422  94_n.jpg

Raila Odinga

about an hour ago


DEMOCRACY ON TRIAL:

Fellow Kenyans;
A very good evening to all of you.
We again stand at a very pivotal moment in our history.

We have created a new Kenya out of the ashes of the one that was nearly destroyed by the terrible violence which followed the tainted election of 2007. It took five long years to rebuild this beautiful country, and foster reconciliation among those divided and traumatized by the events of 2007-2008.

Our people have passionately embraced an unprecedented new order of reforms and economic vibrancy that will deliver a more prosperous and equitable society, contained in a new Constitution that is the envy of the world. And so last Monday, on 4th March, we all watched with utter gratitude the massive turnout as Kenyans waited patiently amidst hours-long delays to fulfill their desire to vote for the people they want to lead them.

Despite the hiccups the IEBC experienced in implementing a smooth and transparent run-up to Election Day, Kenyans were convinced that the IEBC would translate their faith in democracy into a completely credible election which would unite the country. What Kenyans witnessed instead was the failure of virtually every instrument the IEBC had deployed for the election: The poll books, the servers, the telephonic transmission, the BVR – they all failed despite the billions spent on acquiring them.

Two days after the vote, the electronic tallying was discarded and counting begun afresh, manually.

That too turned out to be a flawed exercise in which, among other things, there was massive tampering with the IEBC Final Register of Voters. Voter registration numbers were reduced in our strongholds and added to Jubilee strongholds!
To give just one example, Ndhiwa constituency had 61,339 voters listed in the IEBC Final Register.

But in the votes and election results that IEBC announced, it indicated Ndhiwa had only 48,535 voters! At the same time, other constituencies saw the numbers of registered voters rise. On Friday, the IEBC announced the results of the Presidential vote for Laikipia North constituency. In the Friday announcement, I had 11,908, and the Jubilee candidate had 11,361.

But the Laikipia North results had already been announced by the IEBC the day before! The result then was different – I had 11,596 votes while my opponent had 9,707. Where did these extra votes come from? This is not the time to point to other examples of rampant illegality. That time will come.

There had been a massive public investment in the IEBC to ensure that this first post-2007 election would firmly entrench democracy and the rule of law. The commissioners criss-crossed the world to study how best Kenyans would have a credible election, which would allow them to support their new President, whether they voted for him or not.

Now, it is clear that the constitutionally sanctioned process of electing a new set of leaders to take us to the next level has been thwarted by another tainted election.

This is not the IEBC that Kenyans and Judge Kriegler envisioned. This crisis is not just about the IEBC. It is a crisis in the very workings of the faith that Kenyans have placed in their institutions to respect their democratic rights and the rule of law. It is democracy that is on trial.

As we said repeatedly during the campaign, we would have readily conceded if IEBC had attempted to deliver a reasonably honest election.

Or even if it had addressed the serious concerns the CORD team led by the Vice President formally presented to the commission three days. We only want to lead if Kenyans want us to. We have no other vested interest. Both Judge Kriegler and ECK chairman, the late Samuel Kivuitu acknowledged that it was not possible to know who won the 2007 election.

We thought this would never happen again. It most regrettably has. But this time, we have a new independent judiciary in which we in CORD and most Kenyans have faith. It will uphold the rule of law, and we will abide by its decisions.

We will therefore shortly move to court to challenge the outcome that the IEBC announced a few hours ago. We want to appeal to all Kenyans to respect the rule of law and the Constitution of which they are so proud. Let the Supreme Court determine whether the result announced by IEBC is a lawful one. We are confident the court will restore the faith of Kenyans in the democratic rule of law.

Any violence now could destroy this nation forever. That would not serve anyone's interest. Please therefore look upon each other as brothers and sisters whose national bond should not be broken.

Thank You and God Bless Kenya


 
Last edited by a moderator:
dah jamaa mtata ....kwani matokeo hayo hawaendi round ya pili?
 
Hiyo kwa Kenya inawezekana sana kwa sababu baada ya kupata Katiba mpya kuna Supreme Court ambayo ina mamlaka ya kusikiliza mashtaka yanayomhusu Rais na uchaguzi wa Rais pia
 
dah jamaa mtata ....kwani matokeo hayo hawaendi round ya pili?

Hakuna round ys pili kwa maana mshindi anatakiwa awe amepats angalau 50% ya kura + kura moja na awe ameshinda country votes 24 hivyo vyote ameshapita.
 
kama ana uthibitisho wa kutosha aende mahakamani ila kama hana awaache wakenya kwa amani
awaachie rais waliyemchagua - vinginevyo heshma yake itashuka sana
 
Kukubali kushindwa baada ya kufanya jitihada kubwa na kuona dalili za mafanikio is a process. Sasa hivi yuko katika hatua ya kuwa excited na kutokukubali anachokiona, itafika wakati anakubali tu.
Uhuru ameshinda...
 
lakini si hata cnn walisema kenya wamejiaandaa kwa vita halafu wakaomba msamaha hata hili naona ni porojo tu za bbc kumjaza ujinga raila..
 
alionesha dalili mapema, kwa kuanza kutoa matamko ya ajabu tu. Uhuru kamzidi akubali yaishe.
 
mimi ni mpenzi sana wa odinga lakini naamini wakenya wamemchagua kenyatta kuwa raisi wao na mzee wangu odinga kubali matokeo na nina amini tume ijafanya hujumaa kabisa ni kweli mzee wangu odinga umeshindwa nakutakia maisha mema ya kupumzika na ushauri mzuri achana na siasa tena kapumzike ila nacho amini mtoto wako wa kuzaa uwenda akaja kuwa raisi wa kenya...na kikubwa waambie wajaluo wazaliane kwa wingi kwa sababu ukabila ndio umekuangusha.
 
Source: BBC

Raila Odinga amekataa kukubali matokeo ya urais yaliyompa ushindi wa asilimia 50.03 mpinzani wake bwana Uhuru Kenyatta. Ameahidi kuwa atafikisha malalamiko yake mahakamani.

My take: Mwaka 2007 bwana Odinga alikataa kupeleka malalamiko juu ya matokeo ya urais mahakamani kwa sababu kuwa mahakama hazikuwa na usawa wa kuwezesha haki kutendeka..je mahakama zimekuwa za kuaminika sasa wakati ambao yeye ni mmoja wa serikali iliyo madarakani?

Lets wait and see..

Katiba waliyonayo sasa (Katiba ya mwaka 2010) imeweka wazi juu ya suala la kupinga matokeo ya Urais na taratibu zinazotakiwa kufuatwa. Ibara ya 140 (1-3) ya katiba hiyo inasomeka hivi;
140. (1) A person may file a petition in the Supreme Court to
challenge the election of the President-elect within seven days after the
date of the declaration of the results of the presidential election.

(2) Within fourteen days after the filing of a petition under clause
(1), the Supreme Court shall hear and determine the petition and its
decision shall be final.
(3) If the Supreme Court determines the election of the President elect
to be invalid, a fresh election shall be held within sixty days after
the determination.


 
Nilitegemea hilo lakini kama kuna element ya usanii katika utangazaji matokeo haya, ni kama Uhuru alikuwa ameandaliwa ashinde hata kwa kura moja inavyosema katiba.
 
@Prisoner 46664:
je mahakama zimekuwa za kuaminika sasa wakati ambao yeye ni mmoja wa serikali iliyo madarakani?
Jibu laweza kuwa 'NDIO', si wana katiba mpya?
 
Hakuna round ys pili kwa maana mshindi anatakiwa awe amepats angalau 50% ya kura + kura moja na awe ameshinda country votes 24 hivyo vyote ameshapita.

Hivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
 
Back
Top Bottom