Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Ni mnyukano huo unanikia tenaAisee, sasa sijui itakuwaje hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mnyukano huo unanikia tenaAisee, sasa sijui itakuwaje hapa
Hivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
yaani 50% ya waliopiga kura na yeye mwenyewe akubali kuwa rais
Hivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
wazichape tena tufaidi!
avatar yako inaonyesha ni kweli ulifaidiwazichape tena tufaidi!
Source: BBC
Raila Odinga amekataa kukubali matokeo ya urais yaliyompa ushindi wa
asilimia 50.03 mpinzani wake bwana Uhuru Kenyatta. Ameahidi kuwa
atafikisha malalamiko yake mahakamani.
My take: Mwaka 2007 bwana Odinga alikataa kupeleka malalamiko juu ya
matokeo ya urais mahakamani kwa sababu kuwa mahakama hazikuwa na usawa
wa kuwezesha haki kutendeka..je mahakama zimekuwa za kuaminika sasa
wakati ambao yeye ni mmoja wa serikali iliyo madarakani?
Lets wait and see..
hiyo +1 inamaana kura moja kwa sababu kenyatta ameshinda kwa 50.03% tayari kuna 50% na hiyo 0.03% ukizidisha kwa kura zote unapata zaidi ya kura 1 inayotakiwaHivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
wazichape tena tufaidi!
![]()
Siku hizi JF ni kama kokoro, takataka, mazagazaga, uozo etc utaukuta ndani munyumba