Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
mimi ni mpenzi sana wa odinga lakini naamini wakenya wamemchagua kenyatta kuwa raisi wao na mzee wangu odinga kubali matokeo na nina amini tume ijafanya hujumaa kabisa ni kweli mzee wangu odinga umeshindwa nakutakia maisha mema ya kupumzika na ushauri mzuri achana na siasa tena kapumzike ila nacho amini mtoto wako wa kuzaa uwenda akaja kuwa raisi wa kenya...na kikubwa waambie wajaluo wazaliane kwa wingi kwa sababu ukabila ndio umekuangusha.
Waende kwanza Sunna...