alphoncetz
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 280
- 50
kama ana uthibitisho wa kutosha aende mahakamani ila kama hana awaache wakenya kwa amani
awaachie rais waliyemchagua - vinginevyo heshma yake itashuka sana
Asiyekubali kushindwa hakika ndiye mshindani. Anyekubali kushindwa kashindana kwa faida gani?