Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Hivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
50% kujumlisha kura 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wanaposema apate kura 50%+1. hyo Plus one ina maana gani?
1. Thanks those who voted for me.
2. It took 5 long years to rebuild this country from prior election violence of 2007.
3. Kenyans witnessed the failure of IEBC in its entirety.
4. IEBC tallying was tampered.
5. The figures are incorrect from what they have.
6. It is democracy that is in trial.
7. The serious concerns were not addressed despite VP informed IEBC of irregularities.
8. We will move to Court to challenge the outcome.
9. Let the Supreme Court determine the result that announce by IEBC is valid of not. But we will abide in the decisions of Court.
In Swahili:
Kwanza kuwashukuru Wakenya kujitokeza kwa wingi. Natoa shukrani kwa wale wakenya walio tupigia kura mimi na mgombea mwenzangu Kalonzo M.
Tulitalajiria kwambo tume ya uchaguzi tuliyo unda ilikuwa tofauti na ile ya 2007, lakini hii tume imefanya makosa yale yale ya 2007. Tumona mambo meni sana yalifanyika kinyume paomoja na kuharibika kwa vifaa vya kisasa na kufanya kura kienyeji.
IECB walipanga kufanya hivyo ili matokea yabadilishwe hapa na pale kabla ya kufika katika ukumbi wa BOMAS.
hivyo hatutambui uamuzi wa Tume ya Uchaguzi ulio tangazwa leo.
Tutaenda Mbele ya Mhakama na tuna hakika tutasikilizwa na tuta heshimu uamuzi wa Mhakama yetu. Tuwe watulivu na tuvumilie na kutafanya mambo haya kwa haraka kabisa.
Hatutaki fuj, ghasia na uharibifu wa mali
Asanteni na Mungu Ibariki Kenya
The agony of defeat.....
kama ni wewe umetafsiri umeingia chaka...na kama ni yeye katafsiri kaingia chaka...ujumbe wa matini chanzi na lengwa ni tofauti ingawa unakaribia kufanana
1. Thanks those who voted for me.
2. It took 5 long years to rebuild this country from prior election violence of 2007.
3. Kenyans witnessed the failure of IEBC in its entirety.
4. IEBC tallying was tampered.
5. The figures are incorrect from what they have.
6. It is democracy that is in trial.
7. The serious concerns were not addressed despite VP informed IEBC of irregularities.
8. We will move to Court to challenge the outcome.
9. Let the Supreme Court determine the result that announce by IEBC is valid of not. But we will abide in the decisions of Court.
In Swahili:
Kwanza kuwashukuru Wakenya kujitokeza kwa wingi. Natoa shukrani kwa wale wakenya walio tupigia kura mimi na mgombea mwenzangu Kalonzo M.
Tulitalajiria kwambo tume ya uchaguzi tuliyo unda ilikuwa tofauti na ile ya 2007, lakini hii tume imefanya makosa yale yale ya 2007. Tumeona mambo mengi sana yalifanyika kinyume pamoja na kuharibika kwa vifaa vya kisasa na kufanya kura kienyeji.
IECB walipanga kufanya hivyo ili matokea yabadilishwe hapa na pale kabla ya kufika katika ukumbi wa BOMAS.
hivyo hatutambui uamuzi wa Tume ya Uchaguzi ulio tangazwa leo.
Tutaenda Mbele ya Mhakama na tuna hakika tutasikilizwa na tuta heshimu uamuzi wa Mhakama yetu. Tuwe watulivu na tuvumilie na kutafanya mambo haya kwa haraka kabisa.
Hatutaki fujo, ghasia na uharibifu wa mali
Asanteni na Mungu Ibariki Kenya
Nimesikiliza hotuba pia, ni yeye Odinga kasema hayo in Swahili.
Anyways, ataingia Mahakamani kutafuta Sheria imsaidie.