Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndizo tume zetu ''huru'' za Uchaguzi!
Tume ''huru'' ya Uchaguzi inatangaza matokeo ya Uchaguzi ''huru'' halafu baadaye inatuambia hayo sio matokeo rasmi ya Uchaguzi!
Kwa kifupi, kwenye siasa za nchi ''zinazoendelea'' ni vigumu sana kumshinda Rais ambaye anatetea kiti chake cha Urais. Huu ndio ukweli pamoja na kwamba ni vigumu kuukubali.
Siku alipouwawa yule mkuu wa kitengo cha teknologia ya habari na mawasiliano kwenye tume ya Uchaguzi, Chris Msando ndio siku ambayo uchaguzi Mkuu ulihitimisha mwanzo wa vurugu za Uchaguzi Mkuu.
leo umeongea kama binadamu aliyekamilika with all 5 senses of organHizi ndizo tume zetu ''huru'' za Uchaguzi!
Tume ''huru'' ya Uchaguzi inatangaza matokeo ya Uchaguzi ''huru'' halafu baadaye inatuambia hayo sio matokeo rasmi ya Uchaguzi!
Kwa kifupi, kwenye siasa za nchi ''zinazoendelea'' ni vigumu sana kumshinda Rais ambaye anatetea kiti chake cha Urais. Huu ndio ukweli pamoja na kwamba ni vigumu kuukubali.
Siku alipouwawa yule mkuu wa kitengo cha teknologia ya habari na mawasiliano kwenye tume ya Uchaguzi, Chris Msando ndio siku ambayo uchaguzi Mkuu ulihitimisha mwanzo wa vurugu za Uchaguzi Mkuu.
Si washaziscan na kuzituma BOMAS kashashindwa vinginevyo ni "Last kick of the horse"!
Ninakubaliana 100% na hoja yako.Niliwahi kuanzisha uzi kuhusu 'u-huru' wa tume huru ya uchaguzi ambayo wapinzani wamekuwa wakiililia.
Nadhani sasa labda ambao hawakunielewa wataweza kunielewa.
Kuna dhana potofu kwamba uwepo wa tume 'huru' basi ndo utakuwa mwarobaini wa matatizo wayapatayo wapinzani.
Kama tunavyoona huko Kenya, uwepo wa tume 'huru' si mwisho wa figisu.
Ni dhahiri kabisa kuwa Odinga kafanyiwa figisu na ambaye hakuliona hilo kuwa litatokea atakuwa mbumbumbu wa mwisho kabisa.
Na ndo maana nikasema [kwenye ule uzi wa updates za matokeo ya uchaguzi wa Kenya] kuwa ningeshangaa sana endapo Uhuru Kenyata angeshindwa!
Anayedhani kuwa hiyo IEBC ni huru namwonea huruma😀
Sasa hv ni saa tano hapewi mtu kombe hasa hawa waizKama vile nimesikia wamesema saa tano ucku huu wanampa uhuru kombe!
Hizi ndizo tume zetu ''huru'' za Uchaguzi!
Tume ''huru'' ya Uchaguzi inatangaza matokeo ya Uchaguzi ''huru'' halafu baadaye inatuambia hayo sio matokeo rasmi ya Uchaguzi!
Kwa kifupi, kwenye siasa za nchi ''zinazoendelea'' ni vigumu sana kumshinda Rais ambaye anatetea kiti chake cha Urais. Huu ndio ukweli pamoja na kwamba ni vigumu kuukubali.
Siku alipouwawa yule mkuu wa kitengo cha teknologia ya habari na mawasiliano kwenye tume ya Uchaguzi, Chris Msando ndio siku ambayo uchaguzi Mkuu ulihitimisha mwanzo wa vurugu za Uchaguzi Mkuu.
Udukuzi umefanywa baada ya kukata kiganja cha mkono wa CHRIS MSANDO.Kwa Fomu No. 34 Raila na NASA wako sahihi. Je suala la Udukuzi wa tume ya IEBC,huu udukuzi kupataje kama nae hajadukua? Kwa nini aseme leo siku ya kutangaza Matokeo wakati Kifo cha Chris Msando kimetokea juma 1 lilipita?
Boss MsemajiUkweli Bora umekiri na kusema kweli. Nimependa hapo pa ....
"Kwa kifupi, kwenye siasa za nchi ''zinazoendelea'' ni vigumu sana kumshinda Rais ambaye anatetea kiti chake cha Urais. Huu ndio ukweli pamoja na kwamba ni vigumu kuukubali".
Ila mbona Marekani sio ngumu? Au Uingereza? Kwanini ni Africa tu?
Petro E. Mselewa, je umesikiliza maelezo yaliyotolewa na Tume? Mimi nimesikiliza kidogo maelezo ya msemaji wa hiyo Tume ila kwa bahati mbaya niliyakuta nusu. Mapema Tume ilikutana na wawakilishi wa vyama vyote na kuwaeleza utaratibu ulivyo kwenye sheria lakini vyama ndivyo havikuafiki vikitaka matokeo yatangazwe moja kwa moja baada ya kusainiwa bila kuzisubiri hizo fomu kufika kwa tume kwa kuhofia matatizo ya usafiri.Hoja ya Odinga ni kukosekana kwa Fomu 34A na 34B zinazopaswa kujazwa na kusainiwa,ikiwa ni pamoja na mawakala, kisheria kabla ya kutangazwa matokeo. Fomu 34A hujazwa na kusainiwa katika Kituo cha Kupigia kura. Kimsingi,Fomu 34A hubeba taarifa za kura za kituo kimoja.
Hawana Mamlaka ya kudukua Kanzi Data ya IEBC! Kwa kifupi ni kwamba Jubilee na NASA wote wamedukua Kanzi Data ya IEBC ila Nasa wamewakuta JP, wakawaacha. Ilipofika asubuhi NASA wakakimbilia kwa Wananchi ooh JP, ooh Jubilee! Upuuzi mtupuUdukuzi umefanywa baada ya kukata kiganja cha mkono wa CHRIS MSANDO.
Sent using Jamii Forums mobile app