Fuatilia kwa msajili wa mahakama utajua mpaka sasa hivi ziko ngapi? Pia unapashwa kujua kuwa ni zile tu kesi zilizotendeka baada ya mahakama hiyo kuanzishwa. Ukiona kesi siyo nyingi ujue ufisadi umepungua!Mkuu,hivi kwa nini mahakama ya mafisadi iliyoanzishwa haijampandisha kizimbani fisadi yoyote hadi sasa?,maana mafisadi maarufu tulionao hawana kinga ya kutoshitakiwa.
Kwa maana hiyo sasa tanzania hatuna mafisadi,maana kama wapo bado hata zile kesi za zamani bado zinaweza funguliwa kwa mahaka za zamani.maana ya kutowachukulia hatu ni sawa na kukili kua zimebaki kelele tuu ambazo hazina maana.Fuatilia kwa msajili wa mahakama utajua mpaka sasa hivi ziko ngapi? Pia unapashwa kujua kuwa ni zile tu kesi zilizotendeka baada ya mahakama hiyo kuanzishwa. Ukiona kesi siyo nyingi ujue ufisadi umepungua!
Alafu umeng'ang'ania human capital. Ok unaivest kwenye human capital alafu human capital dont produce. Mgafano unaprovide good heath. Fine you have a heath nation. But cannot produce. Isn"t that msiuse of resources?Sasa mkuu labor bila ya kuwa na afya nzuri na social ammenities kma maji na nishati hasa uko vijijini itawezaje kuproduce efficiently???? Kweli flyover is better than human capital?? Kwani flyover itasaidia upungufu wa madaktari na walimu wa sayansi?? Au uchumi ni bora kuliko uhai wa watu??
Issue inaweza kuwa kampuni binafsi au la. Efficiency ya tanesco sio nzuri na ndo maan unbandle inahitajika na ipo kwenye plan. Kuwe na kampuni 3. Ya ugavi (transmission) na ya kufua umeme. Hii itasaidia. Pia watu walisuggest iwe listed DSEOk nmekuelewa mkuu pamoja sana
Nenda kasome vizuri sheria ya uanzishaji mahakama hiyoKwa maana hiyo sasa tanzania hatuna mafisadi,maana kama wapo bado hata zile kesi za zamani bado zinaweza funguliwa kwa mahaka za zamani.maana ya kutowachukulia hatu ni sawa na kukili kua zimebaki kelele tuu ambazo hazina maana.
Zingatia alishakwambia hatafukua makaburi,itabaki mikwara mbuzi tu ya mafisadi.
Kwangu mimi Raila kumtumia Magufuli sio jambo baya.Wana JF hebu tujadili UBAYA na UZURI wa kumtumia Magufuli katika kampeni za jirani zetu Kenya.
Katika mkutano wao wa KUMUIDHINISHA rasmi mgombeaji wa upinzani wa ODM dhidi ya rais Kenyatta. Mh. Raila odinga alitumia video ya kushangaza sana iliyomwonyesha Rais wetu John Pombe Magufuli kama vile ANASAPOTI kampeni ya RAILAOdinga.
Mimi binafsi naona ni kama strategists wa NASA wamefanya MAKSUDI ili KUTUGOGANISHAU kati yetu na jirani zetu wazuri Kenya.
Urafiki wao wawili walipokuwa MAWAZIRI hauhusiani HATA KIDOGO na maswala ya USALAMA wa nchi yetu.
Nina maana Magufuli sasa is AN INTERNATIONAL FIGURE/Mtu wa KIMATAIFA. Hivyo kumweka kwenye VIDEO ya KUOMBA URAIS Kenya HAIMHUSU hata kidogo na NIKUTUCHONGANISHA!
Kwanza yeye ni Mwenyekiti wa EAC na haitajiki kuwa na upendeleo wowote. Kampuni za Kenya hapa Tanzania zimeajiri watu 50 elfu na zaidi.
Ni vizuri IKULU ama MSEMAJI wa serikali atoe KAULI rasmi, kuwa Tanzania haipendelei MGOMBEAJI yeyote yule nchini Kenya na maamuzi ya Wakenya ndo yatakubalika katika Jumuia ya Africa Mashariki.
Hii itatusaidia Raila Odinga ASIITUIINGIZE katika mizozano isiyo na tija kati yetu na Kenya maana HATUJUI nani atakuwa RAIS wa KENYA baada ya UCHAGUZI..
Ni kweli kama Taifa itatugharimu.Ni vizuri wamwambie ukweli kabisa bila WOGA kuliko kutuingiza katika balaa la Kiplomasia.Maana tukiharibikiwa Raila hana kitu cha kupoteza bali ni sisi Watanzania
Hamna aliesema mfanye kwa 100% si mnawela plannin mnasubiri funds mbona airport ya chato mmeallocate pesa yote 100% mbona SGR pesa mmeallocate yote kma ilivyo??? Milion 50 za kila kijiji mliwezaje????Ndio maana budget inakuwa allocted katika kila sekata kwa percentage ambayo inafaa. Huwezi kiallocate asilimia mia au 90 kwenye afya eti kwa sababu kinamama wana fariki au uallocate pesa zote kwenye elimu eti kwasababu inataka wanafunzi wote wapate mikopo. Hata hizo project unazosema au flyover sio kama zinajengwa nchi nzima. Dar kunayakiwa kuwe na fyover 6 lakini mpaka sass hivi zinajenwa 2 tu. Hujiulizi kwanini. Huwezi kutaka kushughulikia changamoto moja kwa asilimia 100 huku zingine una allocate 0%. Hakuna serikali ya hivyo duniani
Basi tuendelee kuchekwa na kudharauliwa na wakenya!!! maana watu wakihoji eti ANATEKELEZA SERA ZAKE!!! so hta tukila nyasi tukae kimya tu kisa anatekeleza sera zake??? Kwahyo hii nchi ni ya magu au watanzania??? Shame on uNdio maana anatekeleza ahadi zake na ilani ya chama chake. Wewe subiri watz watakapokuamini kwa sasa bado ndo maana unalalama!!
Ndio nang'ang'ania maana watu hamtaki kuelewa tofauti ya maendeleo ya vitu na watu!!! Nmekupa mfano wa gabon ni nchi tajiri by far zaidi ya tz ila wananchi wake ni maskini kuliko watanzania je huoni huko ndio tunapoelekea!!!!!Alafu umeng'ang'ania human capital. Ok unaivest kwenye human capital alafu human capital dont produce. Mgafano unaprovide good heath. Fine you have a heath nation. But cannot produce. Isn"t that msiuse of resources?
Hizo ndege si ndio umezipiga vita. Unamaanisha unataka nchi iwekeze tu kwenye soft infrustructure and not hard infrustructute? Sasa ukiwa na wataalam wengi alafu hamna miradi watafanya kazi gani. These two things should go together. You need to allocte funds in both soft and hard infrustructures. Resources ni scarce ndo maana haya yanatokea. Kwani serikali haipendi kutatua kila kitu kwa asilimia 100. Kupanga ni kuchagua na if you dont plan you plan to failNdio nang'ang'ania maana watu hamtaki kuelewa tofauti ya maendeleo ya vitu na watu!!! Nmekupa mfano wa gabon ni nchi tajiri by far zaidi ya tz ila wananchi wake ni maskini kuliko watanzania je huoni huko ndio tunapoelekea!!!!!
Anyway back to topic..... How can u fail to produce wakati unayo skilles labor??? Au unaona sawa mapilot wakizungu kujazana hapa nchini au unaona sawa kila siku watu wanatumia mamilion kwenda kufuata madakataro bingwa india!! Unafkiri tukipika wataalum miaka ijayo hatutakuwa kimbilio la mataifa mengine na itatuingizia pesa za kigeni!!!
Africa ni Africa, upumbavu unaofanyika Tanzania ni waafrika nzima. Iwe Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Kongo na sehemu nyingine matatizo yanayowakuta waafrika ni uelewa wa waafrika wote hata waliopo ulaya wana matatizo haya hayaUnadhani wakenya wajinga? Hata leo hii odinga apewe urais wa Kenya hawezi kufanya upuuzi kama huu unaofanywa na kina Bashite and Co, na wakenya wakakaa kimya.
eti feki vya akina bashite au..upuuzi tu hamna loloteUpuuzi wa kuwabana mafisadi na kuondoa wenye vyeti feki serikalini?????
Upuuzi kufufua shirika la ATCL?
Upuuzi kuleta treni ya umeme?
Bila ya transport vifaa tiba mtu atavipata vipi? Serikali itapata pesa kutoka kwa watalii na faida nyingine kutoka atcl. Ambayo itasaidia kununua vifaa tiba
habadani wakenya hawawezi kuchagua mwenda wazimu huyo ,sisi tulilazimishiwa huyu mwenzie
kweli babangu ni mwendawazimu anaishipale magogoni jumba jeupe la wajerumaniMwendawazimu baba yako.