Raila Odinga KUMTUMIA rais Magufuli kwa kampeni zake za URAIS Kenya ni MAKOSA MAKUBWA!

Raila Odinga KUMTUMIA rais Magufuli kwa kampeni zake za URAIS Kenya ni MAKOSA MAKUBWA!

Efficient allocation of resources ndio kinachotakiwa. Kama serikali imeona chato inahitaji airport ili economic activities ziongezeke.no problem, economic activities zikiongezeka means more revenue, more revenue means more gvt collection, more gvt collection means more hospitals, more hspitals means more life expectancy
Hahahhhhha ndio nakwambia ssa hta kwa akili za kureason tu chato kuna faida gani ya kiuchumi kuzidi mtwara ama mwanza ama arusha???? Kwanni airport isingewekwa mwanza ama arusha for the sake ya economic opportunities zilizoko huko?? How comes chato iwe considered au kisa rais anatokea huko??? All in all that was a poor choice maana airport inajengwa kwa mabilion huku kilometer 8 kutoka ilipo airport shule hazina madawati wala wilaya haina maji safi na salama!!!!??? Siku mkijua tofauti ya maendelo ya wati na vitu ni nini ndio mtaelewa kwanni Gabon uchumi wake uko mbali sana kuzidi TZ akini wananchi wake ni maskini kuliko most poor african countries kma Tanzania!!!
 
Vyote vinahitajika lakini uwezo wetu ni mdogo therefore unachagua vipaumbele. Wewe unavipaumbele vyako na watawala wa sasa wanavipaumbele vyao ambavyo walivinadi wakati wa uchaguzi wa 2015 wakachaguliwa wa wapigakura! Na wewe kazana mwaka 2020 uvinadi vipaumbele vyako wakuchague!
Sasa kma vinaniathiri ndio nikae kimya??? Yaani shida ambazo zitaathiri watanzania wenzangu milion 50 ambao 70% wanaishi kijijini nikalie kimya kisa VIPAUMBELE VYA WATAWALA??? Very funny indeed and a cowardice feeling
 
Tunarudi pale pale. Kama collection yako ni ndogo wizara ya afya itapanuka vipi? Yaani wewe unapanga kujenga nyumba ya milioni 50 wakati una uwzo wa kupata milioni 5. You need to invest your 5 m so that you can get 50m in the longrun
Sasa mkuu labor bila ya kuwa na afya nzuri na social ammenities kma maji na nishati hasa uko vijijini itawezaje kuproduce efficiently???? Kweli flyover is better than human capital?? Kwani flyover itasaidia upungufu wa madaktari na walimu wa sayansi?? Au uchumi ni bora kuliko uhai wa watu??
 
Sasa kma vinaniathiri ndio nikae kimya??? Yaani shida ambazo zitaathiri watanzania wenzangu milion 50 ambao 70% wanaishi kijijini nikalie kimya kisa VIPAUMBELE VYA WATAWALA??? Very funny indeed and a cowardice feeling
Vipaumbele vyako ulivyovinadi 2015 wapigakura walivikataa ndo maana wakawachagua ccm kwa vipaumbele vyao wanavyovitekeleza sasa!!
 
Kwa sababu ya akili finyu basi wacha akajichimbie kaburi. Ni faida kwetu Magufuli kumpigia kampeni Raila Odinga then ashindwe uchaguzi. Ikifika 2020, Uhuru haji Tanzania kupigia kampeni UKAWA, ila anajua atasaidia kwa namna gani.
 
Basi CAG kadanganya maana kwenye kusoma ripoti yake alisema "walijenga bomba kabla ya kutafuta wateja" na akalalamika why mteja ni tanesco tu !!!! Ila kma wwe unasema ni kuzalisha umeme tu je hakuna kampuni za kigeni zingekuja kufua umeme na kuuza nje ya nchi kwa mfano??? Au huo umeme ni sole ownership ya tanesco!!!

Ckujua you guys know better than CAG!!! congrats
Tuko pamoja kwenye suala la serikali kuruhusu private sectors kuzalisha umeme kwa kutumia gas toka bomba hili. Ila CAG taaluma yake si ya kujua KILA KITU bali ni kufanya ukaguzi wa fedha za umma na kuandaa report kuhusu ni jinsi gani pesa hizo zimetumika.
 
Sasa mkuu labor bila ya kuwa na afya nzuri na social ammenities kma maji na nishati hasa uko vijijini itawezaje kuproduce efficiently???? Kweli flyover is better than human capital?? Kwani flyover itasaidia upungufu wa madaktari na walimu wa sayansi?? Au uchumi ni bora kuliko uhai wa watu??
Kwano ww hujui nchi inapoteza mabilioni kutokana na foleni. Hili tatizo likiwa solved si hizi pesa zinaweza kuwa allocated kwenye hiyo sehem unayoita ww. Unataka end results tu ila chanzo chake hutaki kujua. Na hili ndio tatizo la wtz. Wanataka kuona madaktari wengi, madawa, hospitali kila kona, barabara xa lami kila kona. Lakini mtu hajui atafikaje hapo
 
Ni wale wanaoshabikia nyaya za Umeme kupita juu ya vibanda vyao huku wakiwasha vibatari.
 
Vipaumbele vyako ulivyovinadi 2015 wapigakura walivikataa ndo maana wakawachagua ccm kwa vipaumbele vyao wanavyovitekeleza sasa!!
Hahahahhh airport ya chato ilikuwa part ya ahadi???? Embu msitufanye watoto wadogo hivi ni lini hta hizo ndege ziliizinishwa na bunge???? Msitufanye wote hatuwezi reason........ and by the way huwezi sema watz walikataa wakati upinzani 43% na ccm 57% saa inamaanisha serikali inafanyia kazi watu 57% pekee maana mmi nlifkiri rais akishinda anakuwa rais wa wote!!! Silly thinking
 
Tuko pamoja kwenye suala la serikali kuruhusu private sectors kuzalisha umeme kwa kutumia gas toka bomba hili. Ila CAG taaluma yake si ya kujua KILA KITU bali ni kufanya ukaguzi wa fedha za umma na kuandaa report kuhusu ni jinsi gani pesa hizo zimetumika.
But mkuu am sure yeye haendagi field zaidi mambo kma ya kwenye gas obviously analysis and auditing imefanywa na wataalam wa gesi na mambo ya masoko so siamini kma alikurupuka kusema alichosema....... all in all je ni sawa Tanesco kuwa only client wa kufua umeme??? Tulishindwa innovate hta kamupin binafsi zije zifue umeme ziuze hta kwa nchi jirani??
 
Kwano ww hujui nchi inapoteza mabilioni kutokana na foleni. Hili tatizo likiwa solved si hizi pesa zinaweza kuwa allocated kwenye hiyo sehem unayoita ww. Unataka end results tu ila chanzo chake hutaki kujua. Na hili ndio tatizo la wtz. Wanataka kuona madaktari wengi, madawa, hospitali kila kona, barabara xa lami kila kona. Lakini mtu hajui atafikaje hapo
Mkuu hatupingi miradi ila kuna mambo irrelevant sana kwa sasa hivi SGR unajua ni mkopo?? Na huo mkopo utarudishwa baada ya miaka mingapi ndipo tuanze kuona faida??? Kwahyo sio kitu cha leo ama kesho right?? Ndio nkauliza flyover za ubungo zina impact gani zaidi ya ivestment on huma capital yaani mikopo iende kwa wanafunzi tupate wataalam ndani ya miaka 4/5 na wasaidie kuleta maendeleo ya nchi ila nyie mnapuuza uwekezaji huu ila hamjii tungesave shingapi za kupeleka wagonjwa nje ya nchi au msongamano wa wagonjwa bugando na ocean road kisa shortage ya experts kwenye science field???? Ila mnaona ni sawa kusubiri SGR ilete faida miaka 40 baadae???!!! So funny

And by the way miradi hatupingi hamna shida kma mnaona SGR is better than wasomi however mradi kma wa chato airport je unafaida gani kwa taifa kwa ssa?? Haya mnasema eti tunasema tunataka maendeleo bila kujua tunafikaje ndo najiuliza kma mlitaka kutoa milion 50 kila kijiji mlishindwa nni kuwekeza kituo cha afya kwenye kila kijiji??? Hizo milion 50 zinatoka wapi hadi mseme kwenye kituo cha afya hamna uwezo huo????
 
But mkuu am sure yeye haendagi field zaidi mambo kma ya kwenye gas obviously analysis and auditing imefanywa na wataalam wa gesi na mambo ya masoko so siamini kma alikurupuka kusema alichosema....... all in all je ni sawa Tanesco kuwa only client wa kufua umeme??? Tulishindwa innovate hta kamupin binafsi zije zifue umeme ziuze hta kwa nchi jirani??
Ukisoma post yangu hapo juu utaona nimekuunga mkono kwenye suala hili na nimesikia ingawa sifahamu kama ni taarifa rasmi kwamba kampuni binafsi zimezuiliwa kufua umeme kutokana na sababu wazijuazo wao.
Ni muhimu sana tanesco ikashirikiana na sector binafsi kufua umeme lakini wawekezaji hawa ni vyema wakawa wa ndani na si nje kwa sababu faida watakayo pata kuna uhakika inaweza kuingia kuingia kwenye mzunguko wa fedha nchini.
 
Ukisoma post yangu hapo juu utaona nimekuunga mkono kwenye suala hili na nimesikia ingawa sifahamu kama ni taarifa rasmi kwamba kampuni binafsi zimezuiliwa kufua umeme kutokana na sababu wazijuazo wao.
Ni muhimu sana tanesco ikashirikiana na sector binafsi kufua umeme lakini wawekezaji hawa ni vyema wakawa wa ndani na si nje kwa sababu faida watakayo pata kuna uhakika inaweza kuingia kuingia kwenye mzunguko wa fedha nchini.
Ok nmekuelewa mkuu pamoja sana
 
Upuuzi wa kuwabana mafisadi na kuondoa wenye vyeti feki serikalini?????

Upuuzi kufufua shirika la ATCL?

Upuuzi kuleta treni ya umeme?
Mkuu,kumbe li teleni la umeme limeshafika?,ntakujaga daisalamu nilipandage[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] .hapo kazi tuu nduhu tabu kinehe.
 
Rais wetu hashabikiwi na mafisadi tu
Mkuu,hivi kwa nini mahakama ya mafisadi iliyoanzishwa haijampandisha kizimbani fisadi yoyote hadi sasa?,maana mafisadi maarufu tulionao hawana kinga ya kutoshitakiwa.
 
Mkuu hatupingi miradi ila kuna mambo irrelevant sana kwa sasa hivi SGR unajua ni mkopo?? Na huo mkopo utarudishwa baada ya miaka mingapi ndipo tuanze kuona faida??? Kwahyo sio kitu cha leo ama kesho right?? Ndio nkauliza flyover za ubungo zina impact gani zaidi ya ivestment on huma capital yaani mikopo iende kwa wanafunzi tupate wataalam ndani ya miaka 4/5 na wasaidie kuleta maendeleo ya nchi ila nyie mnapuuza uwekezaji huu ila hamjii tungesave shingapi za kupeleka wagonjwa nje ya nchi au msongamano wa wagonjwa bugando na ocean road kisa shortage ya experts kwenye science field???? Ila mnaona ni sawa kusubiri SGR ilete faida miaka 40 baadae???!!! So funny

And by the way miradi hatupingi hamna shida kma mnaona SGR is better than wasomi however mradi kma wa chato airport je unafaida gani kwa taifa kwa ssa?? Haya mnasema eti tunasema tunataka maendeleo bila kujua tunafikaje ndo najiuliza kma mlitaka kutoa milion 50 kila kijiji mlishindwa nni kuwekeza kituo cha afya kwenye kila kijiji??? Hizo milion 50 zinatoka wapi hadi mseme kwenye kituo cha afya hamna uwezo huo????
Ndio maana budget inakuwa allocted katika kila sekata kwa percentage ambayo inafaa. Huwezi kiallocate asilimia mia au 90 kwenye afya eti kwa sababu kinamama wana fariki au uallocate pesa zote kwenye elimu eti kwasababu inataka wanafunzi wote wapate mikopo. Hata hizo project unazosema au flyover sio kama zinajengwa nchi nzima. Dar kunayakiwa kuwe na fyover 6 lakini mpaka sass hivi zinajenwa 2 tu. Hujiulizi kwanini. Huwezi kutaka kushughulikia changamoto moja kwa asilimia 100 huku zingine una allocate 0%. Hakuna serikali ya hivyo duniani
 
Hahahahhh airport ya chato ilikuwa part ya ahadi???? Embu msitufanye watoto wadogo hivi ni lini hta hizo ndege ziliizinishwa na bunge???? Msitufanye wote hatuwezi reason........ and by the way huwezi sema watz walikataa wakati upinzani 43% na ccm 57% saa inamaanisha serikali inafanyia kazi watu 57% pekee maana mmi nlifkiri rais akishinda anakuwa rais wa wote!!! Silly thinking
Ndio maana anatekeleza ahadi zake na ilani ya chama chake. Wewe subiri watz watakapokuamini kwa sasa bado ndo maana unalalama!!
 
Back
Top Bottom