Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Na huyo ni Rais ambaye anaweza kula chochote na akapata chochote,dahPamoja si pamoja
Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari,
Na huyo View attachment 2701520
Kisa ataki Serikali ya maridhiano na Odinga,aahhahaa
Kisa hataki kuonekana dhaifu,dah
Mwache aendelee kunyooshwa na mzee ya kitendawili