livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,955
- 5,616
Naona nitashindwa sasa[emoji2][emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16], usiogope mama chukua kadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona nitashindwa sasa[emoji2][emoji2]
Majukumu ya Urais na umri kuongezeka yanachangia, Mzee Odinga angekuwa Rais angechoka zaidi.Pamoja si pamoja,
Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari.
View attachment 2701520
Madhabahu yaliyomsaidia kuukwa uongozi Ndio yanamwitisha damu yake mwenyewe kila usiku.
Kawapa wanaijeria mwanawe kabisaaa kama fidia Kwa mgongo wa kuozwa kule.
Kweli shetani hana jema,kutafuta nguvu za uongozi pamoja na utajiri Kwa hali zote.
Aliposhinda uchaguzi alikataa kuingia ikulu kuishi kabla dhabahu zake hazijachimbwa toka Karen na kuhamishiwa ikulu.
Siku zote kujificha nyuma ya makanisa na wahubiri wapotovu.
Kweli usichokijua ni kama usiku wa giza totoro.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji2379]
Unafikiri raila au uhuru kwa hela walizonazo wanategemea pensheni?hoja zako zote mbili uko sahihi. Lakini usumbufu anaomfanyia Ruto ni mbaya sana. Na kinachomuumiza ruto si raila ni Uhuru. Haipendezi kabisa mtu ambaye amekuachia kiti ndiye anakuwa mpinzani wako tena anafadhili harakati za kukupindua. Na wakati huo huo anakwenda DRC anajifanya mpatanishi.
Inaonekana hata Uhuru hajui dhana na thamani ya mtu kuwa rais mstaafu....
Ningekuwa ruto ningesimamisha pesheni, marupurupu, na mishahara ya viongozi wote waliomstari wa mbele kwenye maandamano bila kujali ni raila au uhuru ili itumike kulipa fidia ya uharibifu unaofanywa na panya road wao kwa kigezo cha maandamano.
Kabisa kaposwa kule kama maagano.Yule binti yake kaolewa nigeria
Kwa Uhuru Kenyatta hata wakimsimamishia pension na marupurupu ya Raisi mstaafu havita muathiri kwa lolote maana familia ya Kenyatta tayari Ina ukwasi wa kutosha na biashara nyingihoja zako zote mbili uko sahihi. Lakini usumbufu anaomfanyia Ruto ni mbaya sana. Na kinachomuumiza ruto si raila ni Uhuru. Haipendezi kabisa mtu ambaye amekuachia kiti ndiye anakuwa mpinzani wako tena anafadhili harakati za kukupindua. Na wakati huo huo anakwenda DRC anajifanya mpatanishi.
Inaonekana hata Uhuru hajui dhana na thamani ya mtu kuwa rais mstaafu....
Ningekuwa ruto ningesimamisha pesheni, marupurupu, na mishahara ya viongozi wote waliomstari wa mbele kwenye maandamano bila kujali ni raila au uhuru ili itumike kulipa fidia ya uharibifu unaofanywa na panya road wao kwa kigezo cha maandamano.
but itamtia doa kubwa sana....na lengo ni kupakana matope tuKwa Uhuru Kenyatta hata wakimsimamishia pension na marupurupu ya Raisi mstaafu havita muathiri kwa lolote maana familia ya Kenyatta tayari Ina ukwasi wa kutosha na biashara nyingi
tell me, wanacholialia kutaka urais ni nini? hata hivyo lengo la kuwafungia pesheni ni kuwapaka matope tu kokote wakienda heshima yao inakuwa umefifishwa kwamba ni wahuni tuUnafikiri raila au uhuru kwa hela walizonazo wanategemea pensheni?
urais ni ndoto kwa baadhi ya watu fulani kwa hiyo atafanya mengi tu ili aupate. Raila alifungwa jela miaka kadhaa kanusurika kuuwawa mara kadhaa halafu eti kuondolewa pensheni ndo kumtishe? au kumshushie heshima? Lissu aliondolewa malipo na jiwe je heshima yake ilishuka?tell me, wanacholialia kutaka urais ni nini? hata hivyo lengo la kuwafungia pesheni ni kuwapaka matope tu kokote wakienda heshima yao inakuwa umefifishwa kwamba ni wahuni tu