Raila Odinga mtu mbaya, Kafanya Ruto Achakae

Raila Odinga mtu mbaya, Kafanya Ruto Achakae

Rutto ile sura yake na mwili wake wa kushine umepotea kabisa .Hili jambo limetengenza mijadala Mingi Sana Kenya wakihoji Nini kinamla ndani huyu Raisi wao. ..ndio maana Ile trip yake ya Germany walisema amekwenda kuonana na madaktari bingwa kwa magonjwa yayomsumbua..Bado imekuwa Siri lakini wakenya wengi wamekuwa na speculation nyingi Kwa magonjwa aliyonayomsumbua
 
Tofautisha bongo ya vilaza na Kenya iliyochangamka.
Akitaka afe afanye huo ujinga

Rais wa nchi yeyote ile duniani kuendeshwa na mwananchi ni uzwazwa grade A1.
 
Pamoja si pamoja,

Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari.

View attachment 2701520
Anaelekea kuwa kama yule Mizengo Pinda wa kwanzakwanza kabla hajapata nuru ya uwaziri mkuu.

Ila Ruto kwenye de-dollarisation of African intra-trade namkubali sana.
 
Back
Top Bottom