Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Na huyo ni Rais ambaye anaweza kula chochote na akapata chochote,dahPamoja si pamoja
Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari,
Na huyo View attachment 2701520
Akubali kufanya Serikali ya Umoja wa kitaifa na Raila,atanenepa chapu tuUmemuona Ruto akiwa Rais na Ruto akiwa makamu wa Rais watu wawili tofauti
Ruto mtoto wa mjini haswaNa kwa ufupi tu Raila odinga yupo kwenye politics since miaka ya 80 na ana influence kubwa sana pale kenya.ni genious wa siasa pale kenya.samoei haezi Vita yake
Kosa la Karne ni Odinga baba kumuachia urais Kenyatta Baba.naona humjui Jaramogi Oginga Odinga(baba yake Raila), hao ni motto wa kuotea mbali, wanarithishana tu, ni familia sumbufu kenya toka Kenyatta Mzee
usisahau pia ni Matajiri kupindukia,
naomba nikuulize, ushawahi fika Kisumu..?
Itakuwa hujui utajiri wa the Kenyatta family.....pensheni IPO kikatiba sio hisani.hoja zako zote mbili uko sahihi. Lakini usumbufu anaomfanyia Ruto ni mbaya sana. Na kinachomuumiza ruto si raila ni Uhuru. Haipendezi kabisa mtu ambaye amekuachia kiti ndiye anakuwa mpinzani wako tena anafadhili harakati za kukupindua. Na wakati huo huo anakwenda DRC anajifanya mpatanishi.
Inaonekana hata Uhuru hajui dhana na thamani ya mtu kuwa rais mstaafu....
Ningekuwa ruto ningesimamisha pesheni, marupurupu, na mishahara ya viongozi wote waliomstari wa mbele kwenye maandamano bila kujali ni raila au uhuru ili itumike kulipa fidia ya uharibifu unaofanywa na panya road wao kwa kigezo cha maandamano.
Wewe kweli una historia ya Kenya vizuri. Jaramogi Oginga na yeye alimpeleka puta puta mzee Jomo Kenyatta. Mbaya kabsa. Lakini Jomo Kenyatta alikuwa ngaribgari kweli kweli japo walitoana jashonaona humjui Jaramogi Oginga Odinga(baba yake Raila), hao ni motto wa kuotea mbali, wanarithishana tu, ni familia sumbufu kenya toka Kenyatta Mzee
usisahau pia ni Matajiri kupindukia,
naomba nikuulize, ushawahi fika Kisumu..?
Inafikirisha sana aiseeKosa la Karne ni Odinga baba kumuachia urais Kenyatta Baba.
Sawa na kosa la wachaga kumuachia urais Nyerere.
Wazee wa pwani kumuachia uongozi wa chama mwalimu
Urais ni kazingumu mno ,makamu wa rais KAZI zao unazijua lakiniUmemuona Ruto akiwa Rais na Ruto akiwa makamu wa Rais watu wawili tofauti
uchaguzi utakua na maana gani kama mtu akishindwa atagomea matokeo?Akubali kufanya Serikali ya Umoja wa kitaifa na Raila,atanenepa chapu tu
angekua na influence hii mnayoisema angeshinda uchaguzi, yani aliungana na uhuru lakn bado akapigwa chini mnasema ana ushawishi? upi huo zaidi ya kura?......Na kwa ufupi tu Raila odinga yupo kwenye politics since miaka ya 80 na ana influence kubwa sana pale kenya.ni genious wa siasa pale kenya.samoei haezi Vita yake
Utingo ni utingo tu.hoja zako zote mbili uko sahihi. Lakini usumbufu anaomfanyia Ruto ni mbaya sana. Na kinachomuumiza ruto si raila ni Uhuru. Haipendezi kabisa mtu ambaye amekuachia kiti ndiye anakuwa mpinzani wako tena anafadhili harakati za kukupindua. Na wakati huo huo anakwenda DRC anajifanya mpatanishi.
Inaonekana hata Uhuru hajui dhana na thamani ya mtu kuwa rais mstaafu....
Ningekuwa ruto ningesimamisha pesheni, marupurupu, na mishahara ya viongozi wote waliomstari wa mbele kwenye maandamano bila kujali ni raila au uhuru ili itumike kulipa fidia ya uharibifu unaofanywa na panya road wao kwa kigezo cha maandamano.
Tofautisha bongo ya vilaza na Kenya iliyochangamka.Rais kuendeshwa na raia wa kawaida ni ujinga. Magu alisema yeye ndo Rais na hamna mtu wa kumuendesha and I couldn't agree more with him.
Aisee [emoji2][emoji2][emoji2]