M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Mar 27, 2023 #101 Watu wanakufa mahabusu kila siku Watu wanatoka na ulemavu kila siku wakiwa mahabusu za polisi. Halafu wewe unasema uongo.
Watu wanakufa mahabusu kila siku Watu wanatoka na ulemavu kila siku wakiwa mahabusu za polisi. Halafu wewe unasema uongo.
Me I and my self JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 4,077 Reaction score 8,828 Mar 27, 2023 #102 Sasa polisi wa Tanzania ndio hawana akili kabisaa ni wachache sana wanao jielewa. Mi naona hao wa Kenya ndio kama wa Ulaya.
Sasa polisi wa Tanzania ndio hawana akili kabisaa ni wachache sana wanao jielewa. Mi naona hao wa Kenya ndio kama wa Ulaya.
Jack Daniel JF-Expert Member Joined Sep 23, 2021 Posts 2,912 Reaction score 12,904 Mar 27, 2023 #103 Wakatiri?
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Mar 27, 2023 #104 Niliandika jana ikaunganishwa