uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe...
Kasema ni zama za Mwalimu... Sio leo