Emmanuel mgonza
Member
- Feb 26, 2023
- 21
- 24
Sidhani hiyo Kama ni sababu kubwa ila nadhani hapo Kuna shida sehemu.Ubaya wa polisi wa huku ni elimu duni tena la 7 failure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani hiyo Kama ni sababu kubwa ila nadhani hapo Kuna shida sehemu.Ubaya wa polisi wa huku ni elimu duni tena la 7 failure
AhahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaMwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa...
AngejuaMwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue...
Tanzania ipi anaizungumzia Raila?😅Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue...
Hahahaha 😅😂🤣😭Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi...
.Wako peace sana ase, ilishawahi kunitokea ishu moja tumegombana na mtu ghafla kama nusu saa hivi naona bajaji ipo nje kwangu wakashuka na walijitambulisha vizuri kwa kuonesha ID zao kila mmoja...
Siku akiwakuta wamepewa oda wa CCM!!Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue...
Ni Kweli police wa Kenya ni hovyo kabisa, tena wala rushwa bila kifichoKwa jinsi police wa kenya [emoji1139] walivyo wakwetu ni wasafi na waadilifu kabsa ,hajakosea lolote apo.