MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Sawa mkuu 😀😀😀Achaga toa siri za kambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu 😀😀😀Achaga toa siri za kambi
Polisi wa Tanzania ni Wakuda. Kimsingi kwenye chaguzi zetu hawa Viumbe POLICECCM ndio wametufikisha hapa.By the way...yuko sahihi kabisa..
Ukitii sheria bila shuruti ...unafika mpaka kituoni pasipo kufungwa hata pingu...
Sasa kama anadanganya hili lililo wazi hayo mengine tumuamini vipi!!?Ameamua kututukana kiaina
Wewe umesoma mpaka la ngapi? maana mwandiko wako unatia mashakaUbaya wa polisi wa huku ni elimu duni tena la 7 failure
Wanasiasa ni hatari SANAMwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue.
Polisi wa Tanzania ni Kama wa YUlaya.
Naomba kuwasilishaa.....
Huwajui Hawa wetu Mzee Bora yenuJapo kuna kaukweli, polisi wa Kenya makatili sana, rushwa kwa kwenda mbele, wa Tanzania hata kama wala rushwa ila utahisi kuna utu wa kiaina.
Mwamba sijui alifanya nini mpaka akabananishwa hivyoHawa waliotokomea na Mosses Lijenje?
View attachment 2566867
Kitanda asichokilalia hawezi kuujua ukali wa kunguni wake.
Mwamba sijui alifanya nini mpaka akabananishwa hivyo
AiseWako peace sana ase, ilishawahi kunitokea ishu moja tumegombana na mtu ghafla kama nusu saa hivi naona bajaji ipo nje kwangu wakashuka na walijitambulisha vizuri kwa kuonesha ID zao kila mmoja.
Next wakanambia tunakuhitaji kituo cha polisi kwaajili ya kutoa msaada wa maelezo, nilipochungulia ndani ya bajaji nikamuona mke wangu. Nikamuuliza mke wangu "umeumia sana kiasi utahitaji uchunguzi wa kitabibu?" akanijibu "hapana naweza kwenda hata asubuhi".
Basi bwana nikawaambia wale jamaa naomba nilipe tu nauli ya bajaji ila nitakuja nikishampeleka mke wangu hosptali, wakaniambia nilipe nauli elfu tano wakarudi zao na kesho yake saa nane mchana nikaenda tukayamaliza.
Hahahaa njaa tuMwambie huyo jamaa asituchefue, polisi walienda kusachi kwenye getho la Dereva bajaji kisa anasadikika alikodiwa kubeba mali ya uwizi wakakuta jamaa ana ki akiba chake cha elfu70 washenzi wakapita nacho, Sasa hao polisi au wezi tu
Weeee, hujaingia kwenye 18 zao, polisi afrika ni KERO kwa raiaJapo kuna kaukweli, polisi wa Kenya makatili sana, rushwa kwa kwenda mbele, wa Tanzania hata kama wala rushwa ila utahisi kuna utu wa kiaina.