Rais Uhuru Kenyatta amefanya kila linalowezekana kuhakikisha hasimu wake Raila Odinga anateuliwa AU kwenye watu maalum ambao watakuwa wanashiriki kutatua migogoro Barani Afrika.
Odinga amepewa cheo cha Statesman - is usually a politician, diplomat or other notable public figure who has had a long and respected career at the national or international level.
Taarifa zinasema Rais Kenyatta amekuwa akimshawishi katibu wa AU bw. Moussa Faki kukubali kumteua Odinga ambapo Moussa Faki amekubali maombi ya Kenyatta.
Kama Odinga atateuliwa kwenye jopo la watu maalum AU {African Union Special Envoy } atapewa ofisi pale Addis huku akisafiri bara nzima la AFRIKA kutatua migogoro ya kisiasa, Vita.
Pia Odinga atatengewa ofisi maalum Nairobi huku ikiwa na washauri mbakimbali ambao watakuwa wanalipwa na serikali ya Kenya.
Hili ni gari alilopewa na serikali.
Taarifa zinasema Odinga amepewa magari ya kifahari na serikali ya kutembelea pamoja na kuongezewa ulinzi mkali zaidi [bodyguards,] kila anapokwenda, pia ulinzi nyumbani kwake maeneo ya Karen jijini Naroibi na (Bondo huko Kisumu umeongezwa vya kutosha, Licha ya hivyo mke wake Odinga kapewa gari la kifahari na serikali la kutembelea pamoja na ulinzi.
Odinga amepewa cheo cha Statesman - is usually a politician, diplomat or other notable public figure who has had a long and respected career at the national or international level.
Taarifa zinasema Rais Kenyatta amekuwa akimshawishi katibu wa AU bw. Moussa Faki kukubali kumteua Odinga ambapo Moussa Faki amekubali maombi ya Kenyatta.
Kama Odinga atateuliwa kwenye jopo la watu maalum AU {African Union Special Envoy } atapewa ofisi pale Addis huku akisafiri bara nzima la AFRIKA kutatua migogoro ya kisiasa, Vita.
Pia Odinga atatengewa ofisi maalum Nairobi huku ikiwa na washauri mbakimbali ambao watakuwa wanalipwa na serikali ya Kenya.
Hili ni gari alilopewa na serikali.
Taarifa zinasema Odinga amepewa magari ya kifahari na serikali ya kutembelea pamoja na kuongezewa ulinzi mkali zaidi [bodyguards,] kila anapokwenda, pia ulinzi nyumbani kwake maeneo ya Karen jijini Naroibi na (Bondo huko Kisumu umeongezwa vya kutosha, Licha ya hivyo mke wake Odinga kapewa gari la kifahari na serikali la kutembelea pamoja na ulinzi.