Raila set to become AU Special Envoy in handshake deal

Raila set to become AU Special Envoy in handshake deal

Amsaidie nani?? Mbowe, lowassa au Lissu?? Lissu na Mbowe hawastahili kusaidiwa.
 
Eeehh kupeana magari na vyeo kwa mpinzani wako ni demokrasia ?

Hivi nyie vijana wa Chadema vichwa vyenu vimejaa makamasi tupu nn ?

Kwa hiyo mfano Mh. Rais wetu akitoa vyeo, magari na ulinzi kwa viongozi 2 au 3 wa upinzani ndio Demokrasia ? Pumbaf wee, kasome vizuri hujui kitu.. Pumbaf tena na tena na tena na tenaaaa pumbaf
Sasa kumchukua Anna, Kitila, Wilbrod na Augustine nayo ni makamasi?
 
Wewe Sumaye unamjua zaidi kuliko Serikali yetu wanavyomjua? Mbona Fisadi Lowasa hajanyang'anywa ranchi yetu aliojimegea? Isitoshe kwa nini Sumaye hakwenda Mahakamani kushitaki ili alipwe fidia kama ni kweli alionewa?
Angeenda mahakamani zipi hizi hizi zinazoendeshwa kwa rimoti toka ikulu.
 
In other words, Odinga is being banished to the 'foreign land', so that Uhuru can manouvre all the household activities as he wants!
 
Wenye busara wote hutumia kanuni ya keep your friends close, your enemies closer!, ukiwa na mpinzani desing ya Odinga, ili Uhuru atawale Kenya kwa uhuru na amani, Odinga mwenye followers wengi, must be handled with care, by either being kept busy or contained!, Uhuru ameamua kumkeep busy!.

Kwa upande wa Magufuli, kura Zaidi ya milioni 6 alizopata Lowassa is nothing!, alimua kutumia njia ya kuwa contain wapinzani kwanza kwa kuzuia maandamano na mikutano!, na akasema hata teua wapinzani kwenye serikali yake!.

Lakini baadae amebadilika, ameteua wapinzani ila kwa mtindo wa convention, lakini ameteua!. Amemuita Lowassa kuzungumza nae, na naamini soon, ataruhusu mikutano na maandamano.

Kwa upande wa Lowassa kama mpinzani Mkuu, i tofauti na Odinga, Odinga ni persistent. Lowassa ameisha give in, naamini soon atatangaza kustaafu siasa!.

P.

P.
Kurudi ccm
 
Kwani Raisi Magufuli ana muhasimu yoyote? Isitoshe ulinganisho huu wa Uhuru Kenya na Raila Odinga una uhusiano gani na Raisi wetu?

Kenya kulikuwa na political stalemate, zaidi ya nusu ya Wakenya hawakushiriki Uchaguzi uliompa Uhuru Kenya ushindi hivyo upatanisho ilikuwa ni lazima na siyo hiari, sasa hii inahusiana nini na TZ yetu?

Hauoni kama unalinganisha visivyolingana?
Zanzibar ilikuaje?
Usiwe mwepesi, utapigwa za chembe. Unawaza kwenye straight line kwa kutumia majibu uliyopewa na Chajubanga.
 
wanafanya vurugu na upotevu wa fedha katika siasa za uchaguzi mwisho wa siku mnapeana madeal...huo ni usaliti kwa Raia ambao wengine walipoteza maisha.

Unataka Mbowe asamehewe kwa kuitisha maandamano yaliyopelekea kifo cha Akwilina?
Badili jina.....the name is haunting you.
 
Hiyo ndiyo tofauti ya busara kati ya Uhuru na Magufuli tunayoizungumza.
Kwa Unafiki wenu hamtasema ANAWANUNUA WAPINZANI??
Hapa HASAIDIWI mtu, lowassa haitaji msaada! Mbowe na Lissu na wengine (snitches) hawatakiwi kusaidiwa.
Umewahi msikia Odinga akisnitch kenya??
 
Wenye busara wote hutumia kanuni ya keep your friends close, your enemies closer!, ukiwa na mpinzani desing ya Odinga, ili Uhuru atawale Kenya kwa uhuru na amani, Odinga mwenye followers wengi, must be handled with care, by either being kept busy or contained!, Uhuru ameamua kumkeep busy!.

Kwa upande wa Magufuli, kura Zaidi ya milioni 6 alizopata Lowassa is nothing!, alimua kutumia njia ya kuwa contain wapinzani kwanza kwa kuzuia maandamano na mikutano!, na akasema hata teua wapinzani kwenye serikali yake!.

Lakini baadae amebadilika, ameteua wapinzani ila kwa mtindo wa convention, lakini ameteua!. Amemuita Lowassa kuzungumza nae, na naamini soon, ataruhusu mikutano na maandamano.

Kwa upande wa Lowassa kama mpinzani Mkuu, i tofauti na Odinga, Odinga ni persistent. Lowassa ameisha give in, naamini soon atatangaza kustaafu siasa!.

P.

P.
Tunashukuru kwa kumsemea au ni speculation?
 
Hiyo siyo demokrasia kama ujuavyo wewe, hiyo ni rushwa na usaliti, anyways yote kwa yete haikua na haja ya kumtaja dr magu, kwani yeye hana maadui na kwa demokrasia na uongozi huwezi kumfananisha na raisi yoyote afrika.
 
Kwa Unafiki wenu hamtasema ANAWANUNUA WAPINZANI??
Hapa HASAIDIWI mtu, lowassa haitaji msaada! Mbowe na Lissu na wengine (snitches) hawatakiwi kusaidiwa.
Umewahi msikia Odinga akisnitch kenya??
Kwa mawazo haya tutaendelea kujenga ukuta nchi nzima tukidhani rushwa itamalizwa kwa kuzungusha ukuta.
 
Siasa si uadui na uhasama.Siasa ni haiba na utashi katika kuitumikia nchi.Hoja hujibiwa kwa hoja.Kushindwa kwenye uchaguzi si mwisho wa kufanya siasa
 
JPM kwenye uchaguzi uliomwingiza madarakani alitangazwa kupata kura milioni 8 dhidi ya milioni 6 za Lowasa. Na hizi ni kura kwa kadiri ya tangazo la NEC lakini si kura walizopigiwa.

Kwa yale yanayofahamika kwa uhakika, kura alizozipata JPM ni kidogo zaidi ya yalizotangazwa. Na kura alizopata EL ni nyingi kuliko zilizotangazwa.

Zingetangazwa kura halisia, au JPM asingekuwa Rais au kungekuwa na tofauti ndogo sana ya kura kati ya hao wawili.

Ukweli huo ndio ulimfanya JPM kufuta mikutano ya CDM, anajua kabisa kuwa wengi hawakumtaka. Alitarajia kuwa wakati kukiwa kumedhibitiwa kelele dhidi yake, angepata muda wa kutenda yale ambayo yangewavuta hata wale ambao hawakumpa kura. Bahati mbaya hilo halikutokea, ndipo ilipotengenezwa mbinu ya kuwanunua na kuwatisha wapinzani. Yote hayajaonekana kumsaidia kuungwa mkono kwa kiasi aluchotarajia.

Kwa sasa machaguo ni machache sana kwake. Au kuwaweka karibu wapinzani wake ili wasiendelee kumsema vibaya na aonekane ni muungwana au kuamua kuwa jiwe azidi kuchukiwa na watu wengi zaidi kila siku itakayopita. Huo utakuwa ni uamuzi mgumu sana kwake japo kwa sasa ndio anaoufuata.

JPM kama hataweza kufanya mabadiliko katika fikra zake juu ya jinsi ya kufanya kazi na wapinzani wake, ataifikia 2020 akiwa hoi bin taabani na bila ya kufanikisha mipango na matarajio yake mengi.

JPM anahitaji sasa washauri wazuri zaidi kuliko wakati wowote kama anataka kuubadilidha upepo unaomfanya aonekane ni kiongozi mbaya kwa kadiri ya maoni ya wengi. Itabidi aondokane kabisa na ajitenge na ushauri wa akina Bashite, Mwigulu, Polepole, n.k. Anatakiwa awapate washauri wenye akili, upeo, uzoefu, walio wakweli na wasio na roho za kinafiki na kupenda kujipendekeza kwake.
 
Back
Top Bottom