Raila set to become AU Special Envoy in handshake deal

Raila set to become AU Special Envoy in handshake deal

Sema usemavyo, suala la kujiapisha ni aibu nyingine ya afrika. Kenyatta anashughulika na marafiki za Odinga, yeye mwenyewe anamkaribisha ikulu na wanapiga story kama kawaida.
Anashughulika na nani?? Mbona mahakama imeshaamuru Miguna Miguna aruhusiwe kurudi kenya na wale waliomzuia wapigwe fine au kaonewa kivp?? Mbona odinga ndio alienda airport kujaribu kumuokoa mwenzake??

Odinga anafaa kusolve migogoro sababu yeye mwenyewe kasolve migogoro yake ndani ya nchi maana sio rahisi kukubali kuibiwa chaguzi 3 mfululizo alafu bado hufanyi vurugu

Tumpe heshima yake
 
Anashughulika na nani?? Mbona mahakama imeshaamuru Miguna Miguna aruhusiwe kurudi kenya na wale waliomzuia wapigwe fine au kaonewa kivp?? Mbona odinga ndio alienda airport kujaribu kumuokoa mwenzake??

Odinga anafaa kusolve migogoro sababu yeye mwenyewe kasolve migogoro yake ndani ya nchi maana sio rahisi kukubali kuibiwa chaguzi 3 mfululizo alafu bado hufanyi vurugu

Tumpe heshima yake
Odinga ni mjaluo, asitegemee kuwa rais wa Kenya, halafu huyu ni mtu yupo kwenye miaka ya 70 mwanzoni.
 
Hiyo siyo stalemate bali ni matatizo madogo madogo ambayo yapo kila mahali isistoshe Zanzibar siyo nchi, lkn Kenya ni tofauti mpaka USA waliingilia na kuwapatamisha!

TZ yetu Upinzani hawana uwezo wa kulazimisha chochote wanategemea utashi wa Serikali lkn Kenya ni tofauti Upinzani (Raila Odinga) anaweza kuifanya nchi isitawalike, na ndiyo maana analazimisha mambo yafanyike atakavyo yeye, na ni lazima asikilizwe, hapa TZ Upinzani hauna huo uwezo na ndiyo maana hakuna wa kuwasikiliza!
Na hii ndio shida ya CCM mnachukua upole wa upinzani kma strength yenu..... Mnasema upinzani hawana ubavu wa kufanya nchi isitawalike je maalim mlienda kusuluhisha hadi kuweka katiba mpya kwa misingi gani?? Si mngempuuza

Kama CHADEMA hawana ubavu wa kufanya nchi isitawalike kwanni mnauzia maandamano yao?? Kwanni msiruhusu waandamane alafu uone turnout kama haiwezi kumkimbiza magufuli ikulu..... Why mnakejeli alafu wakitaka kuprove wrong mnawabana??

Bahati yenu kina mbowe na mashinji wapole sana ila wangekuwa type ya lissu hizi kejeli zingeishaga kitambo
 
Ulikuwa unataka mzee mwenye mvi ndio awe rais wetu?. Ulikuwa unataka wapigaji waendelee kupiga mpaka mwishoni wa maisha yao?.

Utaishi na maumivu ya ndani mpaka 2025, cha kukusaidia hakipo.
Aliekwambia upigaji umeisha nani?.

Utakuwa hauishi Tanzania wewee.
 
Na hii ndio shida ya CCM mnachukua upole wa upinzani kma strength yenu..... Mnasema upinzani hawana ubavu wa kufanya nchi isitawalike je maalim mlienda kusuluhisha hadi kuweka katiba mpya kwa misingi gani?? Si mngempuuza

Kama CHADEMA hawana ubavu wa kufanya nchi isitawalike kwanni mnauzia maandamano yao?? Kwanni msiruhusu waandamane alafu uone turnout kama haiwezi kumkimbiza magufuli ikulu..... Why mnakejeli alafu wakitaka kuprove wrong mnawabana??

Bahati yenu kina mbowe na mashinji wapole sana ila wangekuwa type ya lissu hizi kejeli zingeishaga kitambo


Hakuna kitu kama upole wa Upinzani Dunia hii haza TZ, ukweli ni kwamba hawana uwezo wowote wa kushinikiza chochote vinginevyo wangeshautumia!
Usifikiri Raila Odinga anasikilizwa kwa sababu ya ,,roho nzuri" ya Uhuru Kenya, hapana, Raila Odinga analazimisha kusikilizwa, na hiyo ndiyo tofauti, labda nikuulize kwa nini wenzake Raila Odinga wao hawajepewa nafasi yoyote na wala Raisi hajakutana nao ingawaje walikuwa pamoja? Ni kwa sababu kama vile chadema hawana power yoyote ya kushinikiza chochote, ni rahisi kihivyo tu!
 
wanafanya vurugu na upotevu wa fedha katika siasa za uchaguzi mwisho wa siku mnapeana madeal...huo ni usaliti kwa Raia ambao wengine walipoteza maisha.

Unataka Mbowe asamehewe kwa kuitisha maandamano yaliyopelekea kifo cha Akwilina?
Wapi aliyefyatua risasi iliyomuua Aquilina? Labda tuanzie hapo manake inadaiwa bunduki iliyofyatua haijulikani(sick), untraceable ndivyo wanavyojaribu kutuaminisha. Hata mbubu wa mwisho hawezi kukubali kulishwa uozo huo.
 
Hiyo kazi ya Special Envoy imeshushwa maana na kufanywa sehemu ya kupoza watu kuepuka migogoro badala ya sehemu ya mtu anayetatua migogoro.
 
Wenye busara wote hutumia kanuni ya keep your friends close, your enemies closer!, ukiwa na mpinzani desing ya Odinga, ili Uhuru atawale Kenya kwa uhuru na amani, Odinga mwenye followers wengi, must be handled with care, by either being kept busy or contained!, Uhuru ameamua kumkeep busy!.

Kwa upande wa Magufuli, kura Zaidi ya milioni 6 alizopata Lowassa is nothing!, alimua kutumia njia ya kuwa contain wapinzani kwanza kwa kuzuia maandamano na mikutano!, na akasema hata teua wapinzani kwenye serikali yake!.

Lakini baadae amebadilika, ameteua wapinzani ila kwa mtindo wa convention, lakini ameteua!. Amemuita Lowassa kuzungumza nae, na naamini soon, ataruhusu mikutano na maandamano.

Kwa upande wa Lowassa kama mpinzani Mkuu, i tofauti na Odinga, Odinga ni persistent. Lowassa ameisha give in, naamini soon atatangaza kustaafu siasa!.

P.

P.
Lowassa haja give in... na hawezi give up!! JK alisema ndani ya CCM lowassa si wakupuuzwa!! Lowassa hana siasa za harakati kama Odinga!! Lowassa ana siasa za chini ya fukuto au chini ya kapeti na ndio mbaya sana!!

Lowassa alizorotesha serikali ya JK for 7 years na sasa anazorotesha serikali ya Magufuli kimya kimya bila harakati. Upinzani mzito anaoupata Magufuli uliovuka mipaka hadi kufika kwa maaskofu ni mambo ya Lowassa!! The guy is silent killer!!
 
Hakuna kitu kama upole wa Upinzani Dunia hii haza TZ, ukweli ni kwamba hawana uwezo wowote wa kushinikiza chochote vinginevyo wangeshautumia!
Usifikiri Raila Odinga anasikilizwa kwa sababu ya ,,roho nzuri" ya Uhuru Kenya, hapana, Raila Odinga analazimisha kusikilizwa, na hiyo ndiyo tofauti, labda nikuulize kwa nini wenzake Raila Odinga wao hawajepewa nafasi yoyote na wala Raisi hajakutana nao ingawaje walikuwa pamoja? Ni kwa sababu kama vile chadema hawana power yoyote ya kushinikiza chochote, ni rahisi kihivyo tu!
Kama hawana huo uwezo kwanini mnazuia maandamano na mikutano yao ili tupime kma kweli wanaweza au lah ??

Unakumbuka maandamano ya kupinga umeya wa arusha mjini mwaka 2011?? Mbona mlishinikizwa na mkatimiza matakwa ya upinzani??

Unakumbuka maandamano ya kupinga umeya wa CCM kule ilemela?? Je hamkushinikizwa mkaitika??

Unakumbuka uchaguzi wa mwaka 2005 hamkushinikizwa hadi mkaleta katiba mpya na mfumo mpya wa serikali zanzibar?? Je bado unaweza sema upinzani hawana uwezo wa kushinikiza???

Mkuu kubali tu CHADEMA inaongozwa na watu wapole wa diplomasia ila ingekuwa na mwenyekiti gaidi kma Odinga au besigye tungekuwa tuna serikali ya mpito sahivi tunavyoongea!!!
 
Kama hawana huo uwezo kwanini mnazuia maandamano na mikutano yao ili tupime kma kweli wanaweza au lah ??

Unakumbuka maandamano ya kupinga umeya wa arusha mjini mwaka 2011?? Mbona mlishinikizwa na mkatimiza matakwa ya upinzani??

Unakumbuka maandamano ya kupinga umeya wa CCM kule ilemela?? Je hamkushinikizwa mkaitika??

Unakumbuka uchaguzi wa mwaka 2005 hamkushinikizwa hadi mkaleta katiba mpya na mfumo mpya wa serikali zanzibar?? Je bado unaweza sema upinzani hawana uwezo wa kushinikiza???

Mkuu kubali tu CHADEMA inaongozwa na watu wapole wa diplomasia ila ingekuwa na mwenyekiti gaidi kma Odinga au besigye tungekuwa tuna serikali ya mpito sahivi tunavyoongea!!!


Ndiyo kukosa uwezo kwenyewe huko, kama wangekuwa na uwezo wa kulazimisha wangeshautumia, ni rahisi kihivyo tu!
 
Ndiyo kukosa uwezo kwenyewe huko, kama wangekuwa na uwezo wa kulazimisha wangeshautumia, ni rahisi kihivyo tu!
Si nmeshakupa mfano walifanya zanzibar,arusha na mwanza na CCM mkapiga magoti ili yaishe!!!
 
Halafu chadema wakapata nini CCM ,,walipopiga magoti” ?
Si wapinzani wakapata mameya wao

Maalim akafanikiwa kuileta katiba inayotamka kuwa zanzibar ni nchi huru

Maalim na CUF wakapata mabadiliko ya kisiasa ambapo walipewa slot za mawaziri

So walipata walichotaka baada ya maandamano yale
 
Back
Top Bottom