Rais aache upendeleo! Simba mpaka imualike wakati yeye ndie anaialika Yanga Ikulu na kuipendekeza iwe timu ya kumsindikiza nje ya nchi

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Rais kuhudhuria shughuli za Simba ni mpaka aalikwe kwenda Simba day, hii inatia mashaka, hivi Raisi wa Tanzania anashindwaji kubalance mzani wa usimba na uyanga ?

Rais aliibembeleza Yanga ikubali mualiko kwenda Ikulu maana wakati huo Yanga ilikuwa na ratiba ngumu ya kwenda kumaliza mechi za ligi kuu Mbeya ila kishingo upande wakakubali mualiko maana hata walikosa muda wa mazoezi kwa mechi iliyokuwa kesho yake.



Punde si punde Rais akapata mualiko kwenda maadhimisho ya siku ya Uhuru Malawi, Rais aliposikia kutakuwa na mechi ya mpira, wakakaa meza moja na Raisi wa Malawi wakakubaliana kwamba Yanga iwepo kwenye msafara, kwa lugha nyepesi Yanga inaalikwa na Rais hata nje ya Tanzania, Tena timu iliyoenda kule ilijaa wachezaji wa under 20 na wachache wa kikosi cha pili.



Hapo hatujazungumzia Rais kuwakodishia ndege Yanga, kuwanunulia mashabiki wa Yanga Tiketi, n.k.

KWANINI RAIS ANAONYESHA UPENDELEO
 
We nae ni baba wa mtu, huna shukran ata katika hili mama hana dosali kabisa. Mlivyomzungushaa tu inatosha kumjudge kua ni mtu asiyena makuu kwake upendo ndo maisha.

Angelikua yule mwamba angelienda Moja kwamoja kukaa kwenye kiti chale lakini mama wa watu hakua na tabuuu. Ana upendo sana huyu mamamadhaifu yake ni ya kiubinadamu.
 
Yanga inaalikwa na Rais sio hapa tu had nje

 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…