Pindi Israel iliposhambuliwa hatukuona shtuma au matamko kutoka kwa waarabu na waislamu kipindi Ukraine ilipovamiwa na urusi waukraine walikufa wengi wenu mlimuunga mkono urusi sasa Israel inaamua kujilinda yenye tunaona makelele kote duniani ndio mjue dunia imejaa unafiki na upendeleo.
Sent from my Infinix X663 using
JamiiForums mobile app