Rais ajae baada ya Suluhu atatokea kusini mwa Tanzania Bara, Ni Mwanamke Tena !!

Rais ajae baada ya Suluhu atatokea kusini mwa Tanzania Bara, Ni Mwanamke Tena !!

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1734039567580.png


Binafsi ningependa Rais ajae atokee upinzani lakini kwa hali ilivyo hata uwezekano mdogo haupo, hatuna budi kumsubiri rais ataepitishwa na chama Tawala.

Ni dhahiri Rais Ajae lazima awe mkristo kwa utamaduni wa chama tawala, hii imerahisisha zaidi kumjua Rais ajae ikiwa bado atakuwa hai.

Wengi walitabiri Rais atatokea maeneo ya kati lakini kwa hali ya sasa upepo umebadili direction unapepea kusini, NI MWANAMKE, ni moja kati ya wabunge & viti maalum, Influence yake ndani ya chama inasambaa kwa spidi ya radi, Ndie ataepitishwa na chama kugombea Urais na kuwa rais wa Tanzania.
 
Ikikupendeza Mungu kikombe hiki kituepuke
Zama zimebadilika, Wanawake kupewa vyeo vizito ni utamaduni unaozidi kujipanua mizizi kwenye siasa za Tanzania, Itafika kipindi itazoeleka marais kupeana zamu kwa kigezo cha jinsia kama ilivyo kwa dini.
 
Nikukumbushe tu kuwa utawala wa Mungu sio wa kidemoklasia ni wa kifalme maana demoklasia inasema wengi wape utawala wa Mungu mtu achaguliwi na wanadamu hilo ulijue tangu leo.
Ni kukumbushe tu kuwa Yesu hakuchaguliwa na watu same to Mfalme Daudi, Ysuph and so on....
Mungu ni yule yule Jana, Leo, na hata Milele Mark my words
 
Akili huna wewe, hii nchi ndani ya miaka minne tu CHINI ya utawala wa mwanamke imechezewa mpaka imechakaa, halafu wewe uko hapa unatuletea tabiri za kisengee kisengee, eti mwanamke Tena pumbavuu....

Mwisho wa kuongozwa na sketi ni 2025 basi... Tayari tumeshaona hawawezi
 
View attachment 3175483

Ni dhahiri Rais Ajae lazima awe mkristo kwa utamaduni wa chama tawala, hii imerahisisha zaidi kumjua Rais ajae ikiwa bado atakuwa hai.

Wengi walitabiri Rais atatokea maeneo ya kati lakini kwa hali ya sasa upepo umebadili direction unapepea kusini, NI MWANAMKE, ni moja kati ya wabunge & viti maalum, Influence yake ndani ya chama inasambaa kwa spidi ya radi, Ndie ataepitishwa na chama kugombea Urais na kuwa rais wa Tanzania.
Tulia hatufai, Nyerere Alisha wakataa Wanyakyusa
 
Akili huna wewe, hii nchi ndani ya miaka minne tu CHINI ya utawala wa mwanamke imechezewa mpaka imechakaa, halafu wewe uko hapa unatuletea tabiri za kisengee kisengee, eti mwanamke Tena pumbavuu....

Mwisho wa kuongozwa na sketi ni 2025 basi... Tayari tumeshaona hawawezi
We utakuwa upinde, una mabishano ya kikike kike.....ni kawaida mashoga kiwachukia wanawake
 
Back
Top Bottom