Chama ndicho chenye mamlaka ya kumpitisha wa kugombea Urais.Hii nchi haitakuja kutawaaliwa na mwamke Tena mwisho 2025 October
Zama zimebadilika, Wanawake kupewa vyeo vizito ni utamaduni unaozidi kujipanua mizizi kwenye siasa za Tanzania, Itafika kipindi itazoeleka marais kupeana zamu kwa kigezo cha jinsia kama ilivyo kwa dini.Ikikupendeza Mungu kikombe hiki kituepuke
Kwa utaratibu ulivyo anaefuata hawezi kuwa dini sawa na Rais alietokayule mkaka smart kutoka Tanga, mumemfyekelea mbali kabisa3
Yule anae fanana na huyu?yule mkaka smart kutoka Tanga, mumemfyekelea mbali kabisa3
Tulia hatufai, Nyerere Alisha wakataa WanyakyusaView attachment 3175483
Ni dhahiri Rais Ajae lazima awe mkristo kwa utamaduni wa chama tawala, hii imerahisisha zaidi kumjua Rais ajae ikiwa bado atakuwa hai.
Wengi walitabiri Rais atatokea maeneo ya kati lakini kwa hali ya sasa upepo umebadili direction unapepea kusini, NI MWANAMKE, ni moja kati ya wabunge & viti maalum, Influence yake ndani ya chama inasambaa kwa spidi ya radi, Ndie ataepitishwa na chama kugombea Urais na kuwa rais wa Tanzania.
We utakuwa upinde, una mabishano ya kikike kike.....ni kawaida mashoga kiwachukia wanawakeAkili huna wewe, hii nchi ndani ya miaka minne tu CHINI ya utawala wa mwanamke imechezewa mpaka imechakaa, halafu wewe uko hapa unatuletea tabiri za kisengee kisengee, eti mwanamke Tena pumbavuu....
Mwisho wa kuongozwa na sketi ni 2025 basi... Tayari tumeshaona hawawezi