Rais ajaye baada ya Putin atalazimishwa kulipa hasara iliyosababishwa Ukraine

Rais ajaye baada ya Putin atalazimishwa kulipa hasara iliyosababishwa Ukraine

Ndugu yangu Urusi sio Zimbabwe!
Urusi pale akitoka Putin anaingia mbishi kama Putin! Usije ukadhani au ukaota kuwa US ataweza kuweka pandikizi pale Russia! Ilo ondoa kichwani mwako.

Mwisho nakuambia US na Russia wanatafutana tangia miaka ya 50 huko, usije ukaona ajabu sana haya yanayoendelea kwasasa! Jua kwamba kabla USSR haijasambaratika, USSR ilikuwa inaishia Ujeruman, na kiongozi wa Ujeruman mashariki alikuwa huyohuyo Putin Vladimir na isitoshe miaka 60 USSR alishawah kupeleka Nuclear karibu na mpaka na Marekan huko Inchini CUBA ila USA alikataa na kutishia kuivamia Cuba sababu tu anamkaribisha adui yake mlangano kwake.

Mara baada ya kuvunjika USSR miaka ya 1990, waliingia makubaliano kati ya Russia na huko Wamagharibi kwamba Russia hatakiwi kujitanua kusogelea magharibi na Nato haipaswi kujinua kusogelea mashariki, iki kitu kuanzia miaka ya 1997 kilianza kupuuzwa ila wastaafu wa kijeshi na kiusalama katika inchi za Magharibi waliyaonya mataifa yao kuwa hiki wanachokifanya iko siku eneo la Ulaya litakuwa si salama tena.

Wako washauri wa Magharibi ambao waliiambia Marekani kuwa ili uiweze Russia lazima kwanza uungane na wenzio then fanya kila linalowezekana eidha ununue viongozi wa inchi zinazoizunguka Russia au lah! Ila halikisha US inaifuata Russia, ila ukiacha ikufuate hutoiweza.View attachment 2222195

Sent using Jamii Forums mobile app
Putin hajawahi kuwa rais wa iliyokuwa Ujerumani Mashariki, wewe acha kabisa uongo. Usifikiri kuna watoto wa chekechea humu.
 
Hivo vikwazo vyao kama havisaidii View attachment 2222609
Tatizo lenu hamfahamu kabisa mambo ya Finance and Economics. Sasa hivi hakuna mtu anayehitaji hiyo Ruble kwa sababu hakuna dola unayoweza kuuziwa sasa hivi huko Russia.

Kwa mantiki hiyo ina maana hiyo Exchange Rate unayoiona hapo ni "Artificial" na sio kielelezo asilia ya thamani halisi ya Ruble.

Serikali ya Russia ikiacha kuingilia mambo ya Exchange Rate utaona thamani halisi ya Ruble ikiwa zaidi ya 130 kwa dola moja kwa sababu kiukweli hakuna mwenye dola sasa hivi anayehitaji Ruble, hakuna.
 
Naunga mkono hoja yako naongezea pia NATO awajakurupuka walijia nini kitakachotokea angalia sasa washavuna nchi kaza za uraya kama Finland & Sweden wanataka Leo kesho wajiunge NATO sasa NATO inatanuka ni faida kwao na pia NATO hao hao wamemwambia ukrain vita ikiisha watamjengea nchi . Kingine kwa maoni yangu binafsi nahisi inawezekana washauri wake wasiompendea mazuri Putin walimshauri vibaya . Ukrain amekuwa mbuzi wa kafara kwa Putin hataripa na hapo baadae baada ya Putin kuanguka makundi mengi ya kigaidi kupote kwenye uso wa duniani na Putin akishinda hii japo si rahisi basi tu amini kuenderea kwa makundi ya ugaidi duniani
 
Lengo la Mmarekani na washirika wake Nato ni kuhakikisha Urusi inafilisika kiuchumi. Na ili hilo lifanikiwe wanataka vita iendelee kwa muda mrefu ili Urusi idhoofike ndio maana tunaona hayo yanayoendelea.

Wengi tulidhani Ulaya ingeufyata kutokana na vikwazo wanavyowekewa na Urusi ila badala yake imewachochoea zaidi kuendelea kuisaida Ukraine.

Hawa jamaa sio wajinga, hii inaitwa calculated risk, wanaona bora waumie sasa ila kwa manufaa ya kudumu ya badae. Na mwisho wa siku hata rais ajaye wa Urusi si ajabu akalazimishwa kulipa hii hasara ya uvamizi ili kuondolewa vikwazo.
Alisika mchambuz mmojai toka Yombo Kwa Limboa
 
Lengo la Mmarekani na washirika wake Nato ni kuhakikisha Urusi inafilisika kiuchumi. Na ili hilo lifanikiwe wanataka vita iendelee kwa muda mrefu ili Urusi idhoofike ndio maana tunaona hayo yanayoendelea.

Wengi tulidhani Ulaya ingeufyata kutokana na vikwazo wanavyowekewa na Urusi ila badala yake imewachochoea zaidi kuendelea kuisaida Ukraine.

Hawa jamaa sio wajinga, hii inaitwa calculated risk, wanaona bora waumie sasa ila kwa manufaa ya kudumu ya badae. Na mwisho wa siku hata rais ajaye wa Urusi si ajabu akalazimishwa kulipa hii hasara ya uvamizi ili kuondolewa vikwazo.
Habari ndio hiyo ndio maana hakuna anayetaka kutusha kombora urusi. Nadhani before war urusi angemtafuta German amwambie jinsi vita mbili zadunia zilivyomtesa na kwanini hana hamu na vita tena. Well let us see
 
Mimi nilesema hicho kitu wapenzi wa Putin walinishambulia sana.Kitakochotokea ni kuwa Urusi ili irudi kwenye system ya dunia (SWIFT) na vikwazo vingine vingi walivyowekewa ikiwemo ndege zao kutokutua US ,EU countries na baadhi ya nchi za Asia na Latin America amabako ni Hasara kubwa kwa mrusi kwani uchumi wa urusi umeshuka kwa asilimia 4 na kwa taifa kubwa kama Urusi sio jambo la kitoto.

So Fedha zao zilizopo kwenye mabenki washirika wa marekani na ulaya hawatapewa badala yake wataambiwa wakubali hizo fedha ziende Ukraine. Kama unafuatilia waziri wa fedha wa Ukraine kila wiki anatoa figure ya hasara ya vita hii.ni mahususi kuanza kuangalia account nono za Urusi zolizopo nje
Hv unajua Russia alijua akianzisha hii operation ali calculate risk ndio maana alisema usalama wa nchi ni bora zaidi kuliko hayo mnayoita maendeleo ndio maana walivyomzimia Swift amewasha systems yake na ndio inayotumiaka sasa hv walimzimia GPS mfumo unaotumika na ndege hili asiweze kushambulia kwa ndege akawasha mfumo wake mbadala wa gps mashambulizi yanaendelea tatizo mnamchukulia puttin km marais wa Africa ambao wao hawana hata plan ya miaka 10 mbele ndio maana hata kuweka akiba ya mafuta ya kutosha wameshindwa
 
Back
Top Bottom