Uchaguzi 2020 Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo

Uchaguzi 2020 Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo

eti kipenzi cha watanzania
20201010_105555.jpg
 
Rais ni mmoja tu, Mzalendo kiboko ya beberu JPM. Hiki ni chuma cha Reli, ushindi 89%.Chama cha Mbowe kwisha Habari yake.
 
Ndio Mungu na Shetani walivokunong'oneza?.... Hongera sana
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
mungu yupi huyo unayemsemea kwamba anajua😂😂😂
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.


Sijui huwa ni hangover maana mabadiko mengine ni upupu.
Seriously watu wooote wanakuja kushangaa mpigwa Risasi. Kama swala ni idadi ya watu Tumewaona toka enzi hizo.
October 28th is loading counting down ! 1,2,3,4
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Shetani hajawahi kukubaliana na Mungu, hivyo huyo kibwengo wenu atauota tu urais.
 
Mtaanzisha nyuzi nyiiiingi kujifariji tu, Lissu hawezi kupigiwa hata robo ya kura za watanzania
Hizi nyuzi zitawatesa sana kuanzia 2810
Kuna ID zimepotea zikaja mpya kwa sababu tuu ya hizi nyuzi😁 sasa tusubiri maana zingine zitapotea na kusahaulika
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Si ushawahi kuona kuku akiongozwa kwenda bandani jioni?

Ila kuku wengine kufahamu kabisa muda wa kuingia bandani ikifika jioni hawahitaji kuongozwa.
 
Huu ndio ukweli Lissu anashinda uchaguzi

Mimi binafsi asiposhinda nahama nchi.
Haina ubishi kua atashinda,kila mtu anajua atashinda ,CCM wanajua atashinda.

Isipokua ataibiwa ushindi wake.
Ccm wako bize kubuni wizi was kura usioacha alama.
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Raisi wa nchi ipi? Yenye katiba ipi? Yenye tume ipi?
 
Mwl. J. K. K. Nyerere ktk hotuba zake aliwahi kusema kuwa "Mtu akijua kuwa una Akili akakwambia jambo la kipumbavu ukakubali kufanya atakudharau" Pia Nyerere alisema Watanzania Mkiwa waoga mtatawaliwa na Rais Dikteta.

Tundu Lissu alikataa wito wa Polisi kumtaka aende Moshi mwingene akaagiza aripoti Daresalaam pia akakataa wito wa Tume huru ya uchaguzi ya ccm kwa kuwa alijua miito hiyo yote ni ya kipumbavu yenye lengo la kutisha watu na kubaka Demokrasia. Tundu Lissu aligoma pia msafara wake kuzuiwa na Mapolisi wenye Mabunduki akielekea Kibaha na hatimaye Mapolisi wakafyata mkia na kutimkia kusiko julikana.

Kimsingi Tundu Lissu amesha Limeng'enyua jiwe meng'enyuu!! Yaani ametumia wiki nne tuu, bwana Sugu anayo hiari kulisugua au kulikanyaga hilo jiwe.

Rais ajaye ni Lissu Mungu anajua hivyo hata Shetani anajua hivyo ndio maana shetani anahangaika kuzuia mpango wa Mungu lakini hataweza.

Lissu atosha.
Maendeleo hayana vyamaa.
Ni Lissu!
 
Back
Top Bottom