Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 General Election
Subutuuuuu yako wewe, ni Rafiki yake Marehemu ndio anachukua Madaraka. Kama huamini basi tubet
Ingekuwa Tanzania (tena ile ya Dkt Magufuli au kabla yake, maana ya Mama Samia imedharirisha watu wote walioshiriki kuiba kura 2020 na kupelekea hao washiriki wa wizi wa kura kuapa kuacha box la kura liamue nani mshindi), ila kwa Kenya wizi wao wa kura ni wa kibabe! Ni wa kimaslahi zaidi. Unakumbuka yule jamaa aliyeuawa wakakata mkono kwa ajili ya finger print yake?? Ndiyo maana Raila kushinda ni ngumu kwa sababu Ruto ni toto ya town na Uhuru anamjua. Nina uhakika bila shama Ruto ndiyo Rais ajaye wa Kenya na sababu nyingine anapendwa!
 
Ingekuwa Tanzania (tena ile ya Dkt Magufuli au kabla yake, maana ya Mama Samia imedharirisha watu wote walioshiriki kuiba kura 2020 na kupelekea hao washiriki wa wizi wa kura kuapa kuacha box la kura liamue nani mshindi),
Mpwa, kwa mara ya kwanza ume-declare a Very painful truth! CCM hawakushinda Bali waliiba kura kwa ahadi ya kupewa vyeo na madaraka ambayo Samia amewatosa na kwamba wameamua kuacha sanduku la kura liamue 2025, nimejaribu tu ku-rephrase like umeandika. Anyway Wacha tuone
 
Ni kweli isiyo na shaka this time Baba ana State House keys mkononi. But believe me don't underestimate Ruto's abilities after Agwambo I mean Baba, it's Ruto's time to become Kenya's president. Mark my words.
 
Yaani Raisi wa nchi tena ya Afrika Mash akupigie kampeni kwa nguvu vile na ukose uraisi. Never happen!!
Kumbuka uraisi mwafrika hupewa na raisi aliye madarakani, na si wananchi.
Umesahau moi 2002 alimpigia Kampen uhuru na akashindwa na mwai kibaki au ulikuwa hujazaliwa Nini?? Not guarantee
 
Yaani Raisi wa nchi tena ya Afrika Mash akupigie kampeni kwa nguvu vile na ukose uraisi. Never happen!!
Kumbuka uraisi mwafrika hupewa na raisi aliye madarakani, na si wananchi.
Umesahau moi 2002 alimpigia Kampen uhuru na akashindwa na mwai kibaki au ulikuwa hujazaliwa Nini?? Not guarantee
 
oMCHEZO WALIOCHEZA KENYATTA NA RUTO NI BALAAAA.Mutashangazwa na Matokeo
Hiyo haipo mkuu raisi ni Odinga mkuu,Ndo utajua ukibwa ni jalala,utakuja kunitafuta nikutabirie mambo yako.
 
Mangi acha hizo Raila kamwe hatawahi kuwa Rais hata wa TFF ya Kenya
 
Ndiyo maana nakwambia unaandika kama hukwenda shule. Acha generalization kuwa wote..........................., acha sweeping statements! wote , wote, wote! Kwa data ipi kuwa ni wavivu wa kusoma?
 
Yaani Uhuru jinsi alivyo mtoto wa Mjini amuachie Rutto Urais!!!!haitawezekana kamwe maana anajua lazima atakuja kumshtaki na kumfunga kabisa!!!hivyo iwe jua iwe mvua Raila Amollo Odinga lazima atangazwe Rais iwe jua iwe mvua
Odinga mwenyewe akingia anaweza
Mgeuzia kibao uhuru
Siasa za afrika za malipizo

Ova
 
Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
Na wale wqliyoenda kwenye show wakaeusha chupa nao Hahaha
Nguvu zile wangehamushia kwenye mambo muhimu ya kijamii tungewaelewa

Ova
 
Na wale wqliyoenda kwenye show wakaeusha chupa nao Hahaha
Nguvu zile wangehamushia kwenye mambo muhimu ya kijamii tungewaelewa

Ova
Watanzania wote wa hovyo sana imagine mtu kalipia meza $5000 hapo ukute hata kwao hamna umeme anauza sura mjini. Mtu analipa 100,000 kuwania jezi huku anakaa buguruni anamenywa na mbu.
 
U arikiwe mkuu umetiririka vizuri na kunipatia faida kubwa Sana akilini mwangu. Ni kwa mara ya kwanza nalifahamu hili.

Kabla ya kusoma comment yako nilidhani Ruto atashinda kwa kuona vijana wengi wanamuunga mkono. Kumbe kuna kamba ya kihistoria inayombeba baba (Raila)??
 
Hii ni sawa kuota ikifika usiku giza litaingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…