Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 General Election
Subutuuuuu yako wewe, ni Rafiki yake Marehemu ndio anachukua Madaraka. Kama huamini basi tubet
Ingekuwa Tanzania (tena ile ya Dkt Magufuli au kabla yake, maana ya Mama Samia imedharirisha watu wote walioshiriki kuiba kura 2020 na kupelekea hao washiriki wa wizi wa kura kuapa kuacha box la kura liamue nani mshindi), ila kwa Kenya wizi wao wa kura ni wa kibabe! Ni wa kimaslahi zaidi. Unakumbuka yule jamaa aliyeuawa wakakata mkono kwa ajili ya finger print yake?? Ndiyo maana Raila kushinda ni ngumu kwa sababu Ruto ni toto ya town na Uhuru anamjua. Nina uhakika bila shama Ruto ndiyo Rais ajaye wa Kenya na sababu nyingine anapendwa!
 
Ingekuwa Tanzania (tena ile ya Dkt Magufuli au kabla yake, maana ya Mama Samia imedharirisha watu wote walioshiriki kuiba kura 2020 na kupelekea hao washiriki wa wizi wa kura kuapa kuacha box la kura liamue nani mshindi),
Mpwa, kwa mara ya kwanza ume-declare a Very painful truth! CCM hawakushinda Bali waliiba kura kwa ahadi ya kupewa vyeo na madaraka ambayo Samia amewatosa na kwamba wameamua kuacha sanduku la kura liamue 2025, nimejaribu tu ku-rephrase like umeandika. Anyway Wacha tuone
 
Mshindi wa kiti cha Urais kenya atakua Raila Odinga na Martha Karua......Rutto na ushawishi wake na nguvu yake kamwe hawezi kuwa rais kamwe. Kwa mara ya kwanza Kenya historia inaenda kuandikwa leo tarehe 09 ni siku ya kura

Raila anachukua ushindi mapemaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Ruto hapati urais safari hii ruto hawezi ukwaa urais ana scandals chafu sana

Odinga will win last time alipata 47 nchi nzma sasa hapo wakikuyu wakimpa sijui itakuaje

Safari hii ana sapoti ya wakikuyu imagine wakikuyu milioni 10 hata apate voters milioni 4 tu kutoka kwa wakikuyu wa central kenya anashinda, msisahau Raila pia anakubalika sana Pwani, Nairobi, bado magharibi ambapo ni kwao.

Raila n msafi hana scandal

Martha ni msafi pia

Nawaambia ukweli ni kuwa raila atawin huu uchaguzi dhidi ya ruto
Ni kweli isiyo na shaka this time Baba ana State House keys mkononi. But believe me don't underestimate Ruto's abilities after Agwambo I mean Baba, it's Ruto's time to become Kenya's president. Mark my words.
 
Yaani Raisi wa nchi tena ya Afrika Mash akupigie kampeni kwa nguvu vile na ukose uraisi. Never happen!!
Kumbuka uraisi mwafrika hupewa na raisi aliye madarakani, na si wananchi.
Umesahau moi 2002 alimpigia Kampen uhuru na akashindwa na mwai kibaki au ulikuwa hujazaliwa Nini?? Not guarantee
 
Yaani Raisi wa nchi tena ya Afrika Mash akupigie kampeni kwa nguvu vile na ukose uraisi. Never happen!!
Kumbuka uraisi mwafrika hupewa na raisi aliye madarakani, na si wananchi.
Umesahau moi 2002 alimpigia Kampen uhuru na akashindwa na mwai kibaki au ulikuwa hujazaliwa Nini?? Not guarantee
 
oMCHEZO WALIOCHEZA KENYATTA NA RUTO NI BALAAAA.Mutashangazwa na Matokeo
Hiyo haipo mkuu raisi ni Odinga mkuu,Ndo utajua ukibwa ni jalala,utakuja kunitafuta nikutabirie mambo yako.
 
Mshindi wa kiti cha Urais kenya atakua Raila Odinga na Martha Karua......Rutto na ushawishi wake na nguvu yake kamwe hawezi kuwa rais kamwe. Kwa mara ya kwanza Kenya historia inaenda kuandikwa leo tarehe 09 ni siku ya kura

Raila anachukua ushindi mapemaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Ruto hapati urais safari hii ruto hawezi ukwaa urais ana scandals chafu sana

Odinga will win last time alipata 47 nchi nzma sasa hapo wakikuyu wakimpa sijui itakuaje

Safari hii ana sapoti ya wakikuyu imagine wakikuyu milioni 10 hata apate voters milioni 4 tu kutoka kwa wakikuyu wa central kenya anashinda, msisahau Raila pia anakubalika sana Pwani, Nairobi, bado magharibi ambapo ni kwao.

Raila n msafi hana scandal

Martha ni msafi pia

Nawaambia ukweli ni kuwa raila atawin huu uchaguzi dhidi ya ruto
Mangi acha hizo Raila kamwe hatawahi kuwa Rais hata wa TFF ya Kenya
 
Ulitaka nikuandikie kwa kirefu na mapana.....Hivi unajua asilimia kubwa ya Watanzania hawana utamaduni wa kusoma machapisho marefu, How should waste my time kuandika analysis ndefu ilhali most of them ni wavivu kusoma??Am not a lumpen, tena nimesoma kuliko hata unavyodhani, think twice before commenting any nonsense broo!!
I can't restore my time by writing a long story because of someone's else...Short and brief but message is well understandable
Ndiyo maana nakwambia unaandika kama hukwenda shule. Acha generalization kuwa wote..........................., acha sweeping statements! wote , wote, wote! Kwa data ipi kuwa ni wavivu wa kusoma?
 
Yaani Uhuru jinsi alivyo mtoto wa Mjini amuachie Rutto Urais!!!!haitawezekana kamwe maana anajua lazima atakuja kumshtaki na kumfunga kabisa!!!hivyo iwe jua iwe mvua Raila Amollo Odinga lazima atangazwe Rais iwe jua iwe mvua
Odinga mwenyewe akingia anaweza
Mgeuzia kibao uhuru
Siasa za afrika za malipizo

Ova
 
Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
Na wale wqliyoenda kwenye show wakaeusha chupa nao Hahaha
Nguvu zile wangehamushia kwenye mambo muhimu ya kijamii tungewaelewa

Ova
 
Na wale wqliyoenda kwenye show wakaeusha chupa nao Hahaha
Nguvu zile wangehamushia kwenye mambo muhimu ya kijamii tungewaelewa

Ova
Watanzania wote wa hovyo sana imagine mtu kalipia meza $5000 hapo ukute hata kwao hamna umeme anauza sura mjini. Mtu analipa 100,000 kuwania jezi huku anakaa buguruni anamenywa na mbu.
 
Raila Odinga atachukua nchi kwa manufaa ya uma, mkikuyu anamwachia mjaluo ikulu na hii siyo bahati mbaya wala kwa utashi wa Uhuru Kinyata bali mazingira na hali iliyopo ni nafuu iwe hivyo.

Kihistoria Odinga baba yake Raila ndiye alipaswa kupewa nchi na wakoloni aliambiwa aapishwe na kuwa waziri mkuu wa kwanza Kenya lakini alikataa?? Sio kwa kupenda bali ilimpasa kufanya hivyo kwa maslahi ya nchi!! Kwanza wapiganaji wengi wa Uhuru wa Kenya walikuwa ni wakikuyu na wakikuyu wengi sana waliuwawa kwenye harakati za ukombozi.

Kitendo cha yeye kukubali kuapishwa kuwa waziri mkuu ilihali kabila lake halikuwa mstari wa mbele kwenye ukombozi kingezua mapigano ya kikabila na wajaluo wengi wangepoteza maisha. Mzee Odinga akatumia busara na kuivusha Kenya salama?

Ndio sababu mwanae akawa mfanya biashara mkubwa na fisadi asiyegusika by the way kinachoenda kutokea leo hii 9/8/2022 kwenye debe ama sanduku la wapiga kura ni raisi Uhuru Kinyata kufanya kama alivyofanya baba yake Raila Odinga kwa manufaa ya una.

Je ukabila Kenya utakwenda kuisha!!!!! William Ruto kwa sasa ana miaka 56 je ataweza kufikia miaka 60-64-68??? Africa ni tajiri sana ila watu wake ni masikini sana sababu ya kuwa na taasisi mbovu viongozi wabovu
U arikiwe mkuu umetiririka vizuri na kunipatia faida kubwa Sana akilini mwangu. Ni kwa mara ya kwanza nalifahamu hili.

Kabla ya kusoma comment yako nilidhani Ruto atashinda kwa kuona vijana wengi wanamuunga mkono. Kumbe kuna kamba ya kihistoria inayombeba baba (Raila)??
 
Back
Top Bottom