Mm ni mtanzania ila umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia [emoji23]Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
Namuombea sana apateSahivi anaingia ikulu
Ova
Sasa wewe ulitaka uning'inie kwenye mbo..o?Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
Iq yako ipo chini sana!!!? Yani unaangalia sura kwenye uongozi you a very stupid.Ila mgombea makamu wa Raila mwana mama ana sura mbaya na mvaa wigi. Afadhali Mama Samia wetu she is gorgeous and beautiful yaani Rais Samia hakika ni mzuri mno. Ila Raila akiwa rais nadhani Kenya na ikatokea ya Dkt Magufuli, basi Wakenya watakuwa na Rais Mwanamke mwenye sura Mbayaaaa. Bora ashinde tu urais Ruto, kwanza Ruto siyo mzee na handsome
Hata wewe ulikuwa mmojawapo kati ya vijana wa lumumba waliokuwa wakimpambania hayati humu mkiwa na wakina lizabo.ni laki si p.esa na wengineo usidhani tumesahau bisha nilete baadhi ya thread hizo nikutag!Kila aliyemuunga mkono Jiwe ni Adui yangu
Nitakukumbusha tena.Hao vijana kule ukikuyuni hawaonekani kwenye vituo vya kura. Ruto atalimia meno kwa kuamini block moja tu itampa Urais..
Mpaka muda huu Tume inasema zimepigwa kura 6m tu. Fanya times two labda zitakuwa 12m mpaka muda wa vituo kufungwa. Ruto hatoboi hapo, vijana wanapiga kura mitandaoni tu..
Unakubali rais ni William?Bahati mbaya yake wakenya umri hauwahusu wao wanaangalia makabila yao.
William ya NiokooUnakubali rais ni William?
Njoo uning'inie kwa yangu nikutakase ili usizae taahira kama wewe.Sasa wewe ulitaka uning'inie kwenye mbo..o?
Uadui wako hauna impact yoyote kwenye mienendo ya huyo mtu!Kila aliyemuunga mkono Jiwe ni Adui yangu
Hahahahaha ndiyo, we’re proud of our Rais Samia, she is kind & creative and beautiful!Iq yako ipo chini sana!!!? Yani unaangalia sura kwenye uongozi you a very stupid.
CCM iko na watu wajinga kama huyu
WachaaaaNitakukumbusha tena.
Rais ni Ruto the hustler tule bata kudadadeko
na misokoto
Ruto wako anapelekewa pumzi ya moto muda huuNitakukumbusha tena.
Rais ni Ruto the hustler tule bata kudadadeko
na misokoto
Kwa hiyo niingize katika list hiyo maana I bealive JPM was the most super PresidentKila aliyemuunga mkono Jiwe ni Adui yangu