Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 General Election
Hoja zako za mwanzo nakubaliana nazo kabisa 100% ila kwenye hili hapana, tunaijua kenya kama ilivyo bongo tuu, suala la ukabila ni ukweli na sio coincidence kati ya marais wanne(4) watatu watoke kabila moja, wakikuyu wana influence kubwa mno na ndio maana wote Odinga na Ruto running mate ni wakikuyu sio kwa bahati mbaya
 
Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
Mm ni mtanzania ila umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia [emoji23]
 
Raila Odinga atakuwa Rais wa kenya ajae bila shaka hamto amini atapo apishwa kuwa Rais wa Kenya
 
Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
Sasa wewe ulitaka uning'inie kwenye mbo..o?
 
Ila mgombea makamu wa Raila mwana mama ana sura mbaya na mvaa wigi. Afadhali Mama Samia wetu she is gorgeous and beautiful yaani Rais Samia hakika ni mzuri mno. Ila Raila akiwa rais nadhani Kenya na ikatokea ya Dkt Magufuli, basi Wakenya watakuwa na Rais Mwanamke mwenye sura Mbayaaaa. Bora ashinde tu urais Ruto, kwanza Ruto siyo mzee na handsome
 
Ila mgombea makamu wa Raila mwana mama ana sura mbaya na mvaa wigi. Afadhali Mama Samia wetu she is gorgeous and beautiful yaani Rais Samia hakika ni mzuri mno. Ila Raila akiwa rais nadhani Kenya na ikatokea ya Dkt Magufuli, basi Wakenya watakuwa na Rais Mwanamke mwenye sura Mbayaaaa. Bora ashinde tu urais Ruto, kwanza Ruto siyo mzee na handsome
Iq yako ipo chini sana!!!? Yani unaangalia sura kwenye uongozi you a very stupid.
CCM iko na watu wajinga kama huyu
 
Hii ya Raisi anaemalizia muda wake kumkampenia mpinzani Odinga kuwa Raisi, ni tricky tu ya kucheza na mind za wakenya, ukiliangalia hili kwa jicho la tatu utangundua kitu! Kuwa uhuru is playing tricky to fool kenyans! Yote kwa yote uhuru na ruto they're two in one! Kitu ambacho wakenya wengi hawajui ama wanapumbazwa na uhuru. Think beyond the box...

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Hao vijana kule ukikuyuni hawaonekani kwenye vituo vya kura. Ruto atalimia meno kwa kuamini block moja tu itampa Urais..

Mpaka muda huu Tume inasema zimepigwa kura 6m tu. Fanya times two labda zitakuwa 12m mpaka muda wa vituo kufungwa. Ruto hatoboi hapo, vijana wanapiga kura mitandaoni tu..
Nitakukumbusha tena.
Rais ni Ruto the hustler tule bata kudadadeko
na misokoto
 
Back
Top Bottom