Uchaguzi 2020 Rais ajaye Zanzibar 2020-2025 lazima awe mkali. Je, wanaotajwa tajwa kuna mkali au anaandaliwa Mtanganyika kuvishwa Uzanzibar?

Uchaguzi 2020 Rais ajaye Zanzibar 2020-2025 lazima awe mkali. Je, wanaotajwa tajwa kuna mkali au anaandaliwa Mtanganyika kuvishwa Uzanzibar?

Lakin Mahiga ni mzanzibari
Mahiga hawezi kuwa rais wa Zanzibar. Anaemzungumzia ni mtoto wa Mwinyi. Hussein ndio maana unaona Baba mtu anasifia hata visivyosifika ili Magufuli amsaidie Hussein kugombea. Mwinyi siyo mzanzibari kindakindaki. Ni wazanzibari waliotengenezwa Bara
undefinedmahega mzanzibari tangu lini tena?undefinedundefinedMi nilijua ni mnyakyusa yule..!!undefinedundefinedHata hivyo mahega amezeeka mno,undefinedmi nadhani mzanzibari Charles kimei anafaa sana kuwa Rais wa zanzibar
Binafsi nilijua Mahiga ni MTU wa Iringa ?

Ila kwa Zanzibar
Hussein Mwinyi ,Prof Mbalawa na Mama Samia mmoja wapo anafaa kuwa Rais wa Zanzibar
 
Samia for 2020 znz presidency
Mwinyi for 2020 vice presidency of the URT

Later; Mwinyi for 2025 Presidency of the URT
Mzanzibar wa kuwa Rais wa JMT sijamuona labda wampitishe na waibe kura, hata ndani ya CCM za maoni hawezi kupata labda wapitishwe wote 3 kutoka Zenji
 
Poyoyo wewe.lete na wewe hiyo mada.usipende kuharibu mada wenzio.
Huyu vipi! Matatizo ya nyumbani kwako usiyalete Jamii Forums. Unadhani kuwakasirikia watu wengine wasiohusika na matatizo yako itakusaidia kuondokana na stress za vyuma kukaza? Pumbavu...
 
Wazanzibar ni watumwa kutoka Tanganyika. Tangu yalipofanyika mapinduzi ya 1964, serikali ya Zanzibar imekua chini ya wazanzibar asili ( watanganyika wa pwani ) zamani walikua wanaitwa waungwana kwasababu ya kukana imani zao na kuukubali uislamu. Mzanzibari ni mtanganyika, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Raisi ajae wa Zanzibar atakua Mtanzania.
 
Kuna maeneo nimesikia sikia maneno ambayo yanahusu urais wa zanzibar ujao, maana Shein anamaliza mda wake,

Wanatajwa kina Vuai, kina Hussein Mwinyi, hata karume mdogo anataka kujitosa huko, kuna Makamu wa shein,

Lakin kwa aina ya rais wanayetaka awepo kule (Japo rais wa zanzibar hanaga impact) ila kwa sifa ya Ukali kama Magufuli sijamuona, maana wazanzibari ni wapole na wakarimu sana ,

Je kuna mtanganyika atapewa uzanzibari na kupitia CCM? Maana kisichowezekana kwingineko kwa CCM kinawezekana,

Ninauliza hivi watapewa mwingine kama Mwinyi alivyovikwa uzanzibari kwa muda?

Naishia hapa na uzi wetu huu tutaufufua siku ya uchaguzi zanzibar , akiwa amepitishwa Mtanzibari badala ya Mzanzibari
Mkuu mwinyi asili yake ni wapi maana umesema sio mzanzibari
 
Kama hawatamind wazanzibar mtoto wa karume yule balozi anafaa sana ana sirika kama rais wa Tanzania Bara. Na ni mtu ambae yupo so focused. I think viatu vitamwelea vema
 
Kuna maeneo nimesikia sikia maneno ambayo yanahusu urais wa zanzibar ujao, maana Shein anamaliza mda wake,

Wanatajwa kina Vuai, kina Hussein Mwinyi, hata karume mdogo anataka kujitosa huko, kuna Makamu wa shein,

Lakin kwa aina ya rais wanayetaka awepo kule (Japo rais wa zanzibar hanaga impact) ila kwa sifa ya Ukali kama Magufuli sijamuona, maana wazanzibari ni wapole na wakarimu sana ,

Je kuna mtanganyika atapewa uzanzibari na kupitia CCM? Maana kisichowezekana kwingineko kwa CCM kinawezekana,

Ninauliza hivi watapewa mwingine kama Mwinyi alivyovikwa uzanzibari kwa muda?

Naishia hapa na uzi wetu huu tutaufufua siku ya uchaguzi zanzibar , akiwa amepitishwa Mtanzibari badala ya Mzanzibari
wewe lazima utakua unajua hebu tuambie nani atafata... Tujulishe tu hata watu wachache kwenye PM hatutatoa Siri/utabiri wako hadharani
 
Kuna maeneo nimesikia sikia maneno ambayo yanahusu urais wa zanzibar ujao, maana Shein anamaliza mda wake,

Wanatajwa kina Vuai, kina Hussein Mwinyi, hata karume mdogo anataka kujitosa huko, kuna Makamu wa shein,

Lakin kwa aina ya rais wanayetaka awepo kule (Japo rais wa zanzibar hanaga impact) ila kwa sifa ya Ukali kama Magufuli sijamuona, maana wazanzibari ni wapole na wakarimu sana ,

Je kuna mtanganyika atapewa uzanzibari na kupitia CCM? Maana kisichowezekana kwingineko kwa CCM kinawezekana,

Ninauliza hivi watapewa mwingine kama Mwinyi alivyovikwa uzanzibari kwa muda?

Naishia hapa na uzi wetu huu tutaufufua siku ya uchaguzi zanzibar , akiwa amepitishwa Mtanzibari badala ya Mzanzibari
 

Piga kura
 
Kuna maeneo nimesikia sikia maneno ambayo yanahusu urais wa zanzibar ujao, maana Shein anamaliza mda wake,

Wanatajwa kina Vuai, kina Hussein Mwinyi, hata karume mdogo anataka kujitosa huko, kuna Makamu wa shein,

Lakin kwa aina ya rais wanayetaka awepo kule (Japo rais wa zanzibar hanaga impact) ila kwa sifa ya Ukali kama Magufuli sijamuona, maana wazanzibari ni wapole na wakarimu sana ,

Je kuna mtanganyika atapewa uzanzibari na kupitia CCM? Maana kisichowezekana kwingineko kwa CCM kinawezekana,

Ninauliza hivi watapewa mwingine kama Mwinyi alivyovikwa uzanzibari kwa muda?

Naishia hapa na uzi wetu huu tutaufufua siku ya uchaguzi zanzibar , akiwa amepitishwa Mtanzibari badala ya Mzanzibari
Tusishangae Kangi Lugola akapelekwa Kuwa Rais Zanzibar
 
Back
Top Bottom