He was a one minute man. Akiingiza tu kichwa, kamwaga ubongoWilliam Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841.
Mfahamu kidogo
William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani.
Shukurani mkuuWilliam Henry Harrison
View attachment 1717951
William Henry Harrison alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani. Kaimu Rais wake alikuwa John Tyler aliyemfuata kama Rais. Mjukuu wake aliyeitwa Benjamin Harrison alikuwa Rais wa 23. Wikipedia
Tarehe ya kuzaliwa: 9 Februari 1773
Mahali alikozaliwa: Virginia, Marekani (Berkeley Plantation)
Alikufa: 4 Aprili 1841, The White House, Washington, Marekani
Makamu wa rais: John Tyler (1841)
Muhula wa rais: 4 Machi 1841 – 4 Aprili 1841
Watoto: John Scott Harrison, Lucy Singleton, ZAIDI
Ni pigo rais akifa madarakaniWilliam Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841.
Mfahamu kidogo
William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani.
Amen. Mungu yupo jana, leo na hata mileleMtegemee Mungu, binadamu ni mavumbi na mavumbini atarudi.
ngoja ntafuatilia... lakini aliyefanya makubwa kuliko hao wengine wote combined! Ndivyo wanavyosema.
Buji utanitendea haki km ukifafanua kadr utakavyowezaHe was a one minute man. Akiingiza tu kichwa, kamwaga ubongo